FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Wadau wa Blog hii salaam
Mie sio mwandishi mzuri lakini .
Hii ni tetese ambayo nimekumbana nayo katika Pita pita zangu hebu wana JF jaribuni kuifanyia kazi ndani ya vyanzo vya waandishi wa habari na Raia wema Stone city
News yenyewe ni kuhusiana na Sakata zima la kivuko cha kamanga feri Mwanza
Habari za kuaminika na zisizoaminika sana zinasema ,baada ya mmiliki wa kivuko cha kamanga Feri kupass away aliacha urithi wa vivuko vyake viwili kilichoko Mombasa na Mwanza kwa watoto wake wa wawili.
Mtoto wake mmoja alieyekuwa anasoma majuu alipewa kumiliki na kuendesha kivuko cha Mwanza City lakini katika mazingira ya kutatanisha Mke wa marehemu akishirikiana na Mheshimiwa Masha na baba mzazi wa Masha waliweza kufanya manuva na kubadili hati za Kivuko hicho na kutaka kumnyang'anya kijana urithi huo katika mazingira ya kutatanisha.
Pia kijana aliwekwa wanted kutokukanyaga nchini kwao/Nyumbani lakini sijajua ni kwa sababu gani ila yeye aliweza kufika Mwanza katika njia alizojua yeye..
Raia wanaoishi maeneo hayo walighafika na kudai Masha ndo kazikosa kura zao 2010 kwa sababu ameharibu na hakuwahi kufanya vizuri katika kipindi chote alichokuwa madarakani
Wachunguzi wa mambo hebu pelekeni macho yenu jijini Mwanza muibuke na habari hii ya utata na yenye mvuto kwa waziri wetu
Mie sio mwandishi mzuri lakini .
Hii ni tetese ambayo nimekumbana nayo katika Pita pita zangu hebu wana JF jaribuni kuifanyia kazi ndani ya vyanzo vya waandishi wa habari na Raia wema Stone city
News yenyewe ni kuhusiana na Sakata zima la kivuko cha kamanga feri Mwanza
Habari za kuaminika na zisizoaminika sana zinasema ,baada ya mmiliki wa kivuko cha kamanga Feri kupass away aliacha urithi wa vivuko vyake viwili kilichoko Mombasa na Mwanza kwa watoto wake wa wawili.
Mtoto wake mmoja alieyekuwa anasoma majuu alipewa kumiliki na kuendesha kivuko cha Mwanza City lakini katika mazingira ya kutatanisha Mke wa marehemu akishirikiana na Mheshimiwa Masha na baba mzazi wa Masha waliweza kufanya manuva na kubadili hati za Kivuko hicho na kutaka kumnyang'anya kijana urithi huo katika mazingira ya kutatanisha.
Pia kijana aliwekwa wanted kutokukanyaga nchini kwao/Nyumbani lakini sijajua ni kwa sababu gani ila yeye aliweza kufika Mwanza katika njia alizojua yeye..
Raia wanaoishi maeneo hayo walighafika na kudai Masha ndo kazikosa kura zao 2010 kwa sababu ameharibu na hakuwahi kufanya vizuri katika kipindi chote alichokuwa madarakani
Wachunguzi wa mambo hebu pelekeni macho yenu jijini Mwanza muibuke na habari hii ya utata na yenye mvuto kwa waziri wetu