Mheshimiwa Livingstone Lusinde (MB) alimaanisha haya

Njaare

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
1,081
275
Katika mambo yaliyousikitisha umma wa wastaarabu wa Tanzania katika kampeni za Arumeru Mashariki ni kauli chafu iliyotolewa na mbunge wa mtera (sijui ni mheshimiwa au ni kichaa) Livingistone Lusinde. Pamoja na mambo maneno mengine aliyoongea kwa kujiamini ni suala la kudai kuwa Mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini alipata alipata bwana wakati akiwa mahabusu. Ni maneno ya aibu kutoka kwa mwanachama wa chama ambacho serikali yake inajitapa kuwa inafuata utawala wa sheria. Ni kauli ya kusikitisha ila kwa maana nyingine inataka kutupa ujumbe ufuatao:-

Kwa kuwa jeshi la magereza halijakanusha kutokea kwa kitendo hicho, na kwakuwa maneno hayo yalitoka kwa mtu wa CCM, hii inatuthibitishia kuwa hata kama Lema hakupata bwana, Serikali ya CCM ikishirikiana na jeshi la magereza huwa inaweka mafirauni inaowafahamu ndani ya mahabusu ili kuwafanyia vitendo vibaya watu ambao serikali ya CCM inawabambikizia kesi.


Kwa kuwa CCM haijamkemea wala kumwadhibu huyo mwanachama wake, hii inatufanya tuamini kuwa serikali ya CCM inafadhili na kusimamia vitendo vya udhalilishaji wa raia wake inayotamba kuwa waliiweka madarakani kwa ushindi wa Tsunami.
 
Katika mambo yaliyousikitisha umma wa wastaarabu wa Tanzania katika kampeni za Arumeru Mashariki ni kauli chafu iliyotolewa na mbunge wa mtera (sijui ni mheshimiwa au ni kichaa) Livingistone Lusinde. Pamoja na mambo maneno mengine aliyoongea kwa kujiamini ni suala la kudai kuwa Mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini alipata alipata bwana wakati akiwa mahabusu. Ni maneno ya aibu kutoka kwa mwanachama wa chama ambacho serikali yake inajitapa kuwa inafuata utawala wa sheria. Ni kauli ya kusikitisha ila kwa maana nyingine inataka kutupa ujumbe ufuatao:-

Kwa kuwa jeshi la magereza halijakanusha kutokea kwa kitendo hicho, na kwakuwa maneno hayo yalitoka kwa mtu wa CCM, hii inatuthibitishia kuwa hata kama Lema hakupata bwana, Serikali ya CCM ikishirikiana na jeshi la magereza huwa inaweka mafirauni inaowafahamu ndani ya mahabusu ili kuwafanyia vitendo vibaya watu ambao serikali ya CCM inawabambikizia kesi.


Kwa kuwa CCM haijamkemea wala kumwadhibu huyo mwanachama wake, hii inatufanya tuamini kuwa serikali ya CCM inafadhili na kusimamia vitendo vya udhalilishaji wa raia wake inayotamba kuwa waliiweka madarakani kwa ushindi wa Tsunami.


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/242467-mh-livingstone-lusinde-under-microscope.html
 
Wananchi wakimbeba kumpeleka jukwaani kuhutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kijiji cha Makiba kata ya Makiba, Arumeru Mashariki jana. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Hafsa Kazinja wa TOT akikamua Uwanja wa mpira wa Makiba
Mbunge wa Mtera, Mjumbea wa NEC ya CCM, Livingstone Lusinde aka Kibajaji akihutubia Makiba.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdalla Jma akihutubia mkutano wa kampeni uwanja wa mpira wa kijiji cha Makiba.
Nchemba akihutubia Makiba

Maelfu ya watu mkutano wa kampeni za CCM Makiba
 
Wananchi wakimbeba kumpeleka jukwaani kuhutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kijiji cha Makiba kata ya Makiba, Arumeru Mashariki jana. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Hafsa Kazinja wa TOT akikamua Uwanja wa mpira wa Makiba
Mbunge wa Mtera, Mjumbea wa NEC ya CCM, Livingstone Lusinde aka Kibajaji akihutubia Makiba.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdalla Jma akihutubia mkutano wa kampeni uwanja wa mpira wa kijiji cha Makiba.
Nchemba akihutubia Makiba

Maelfu ya watu mkutano wa kampeni za CCM Makiba

Masikini unatia huruma.Unakipwa shilingi ngapi hadi muda huu unaleta ***** hapa JF?
 
Kwa wanaojua taifa za mashoga, bila shaka huyu bwana anaweza kuwa ameishaharibiwa kiasi cha kukosa aibu na busara. Maana lugha yake pekee ni ushahidi kuwa si mzima. Anapenda kuwapakazia wenzake yaliyomkuta.
 
Wafuasi wa CDM walio wengi wamefanana kabisa na wamachinga wa kariakoo, wamejaa ushamba wa kupiga miluzi na kulia uchuro... ovyo kila waonapo kijani. Wana akili hawa ?
 
chama chetu cha mafisadi we chauwa nchi
Chama chetu cha mafisadi chaua nchi
Naukumbuka huu wimbo kipindi CCM iko chini ya JK Nyerere,toka Mzee kafa,walio baki ni full vituko.
Mtu kama Lusinde,Mwl angekuwepo angemchapa viboko kama alivyo mchapaga Sita kipindi yuko UDSM anasoma.
 
Katika mambo yaliyousikitisha umma wa wastaarabu wa Tanzania katika kampeni za Arumeru Mashariki ni kauli chafu iliyotolewa na mbunge wa mtera (sijui ni mheshimiwa au ni kichaa) Livingistone Lusinde. Pamoja na mambo maneno mengine aliyoongea kwa kujiamini ni suala la kudai kuwa Mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini alipata alipata bwana wakati akiwa mahabusu. Ni maneno ya aibu kutoka kwa mwanachama wa chama ambacho serikali yake inajitapa kuwa inafuata utawala wa sheria. Ni kauli ya kusikitisha ila kwa maana nyingine inataka kutupa ujumbe ufuatao:-

Kwa kuwa jeshi la magereza halijakanusha kutokea kwa kitendo hicho, na kwakuwa maneno hayo yalitoka kwa mtu wa CCM, hii inatuthibitishia kuwa hata kama Lema hakupata bwana, Serikali ya CCM ikishirikiana na jeshi la magereza huwa inaweka mafirauni inaowafahamu ndani ya mahabusu ili kuwafanyia vitendo vibaya watu ambao serikali ya CCM inawabambikizia kesi.


Kwa kuwa CCM haijamkemea wala kumwadhibu huyo mwanachama wake, hii inatufanya tuamini kuwa serikali ya CCM inafadhili na kusimamia vitendo vya udhalilishaji wa raia wake inayotamba kuwa waliiweka madarakani kwa ushindi wa Tsunami.


Cham chake hakija mchukulia hatua, wanachama wake walishangilia yale matusi ya nguoni ambayo ny ya aibu hata kuyatamka tena mbele ya watoto wadogo kabisa!

Ni aibu kwa chama,wanachama na watz wote kama huyu mtu hatachukuliwa hatua yoyote.
Ushahidi upo wazi kabisa, na kama hakuna sheria ya kumtia hatiani kwa namna yoyote ile basi sheria na zetu hazina maana yoyote.

Ashitakiwe mahakamani,
 
Cham chake hakija mchukulia hatua, wanachama wake walishangilia yale matusi ya nguoni ambayo ny ya aibu hata kuyatamka tena mbele ya watoto wadogo kabisa!

Ni aibu kwa chama,wanachama na watz wote kama huyu mtu hatachukuliwa hatua yoyote.
Ushahidi upo wazi kabisa, na kama hakuna sheria ya kumtia hatiani kwa namna yoyote ile basi sheria na zetu hazina maana yoyote.

Ashitakiwe mahakamani,

Naungana na wewe mkuu. Kipi kifanyike ili afikishwe mahakamani?
 
Wafuasi wa CDM walio wengi wamefanana kabisa na wamachinga wa kariakoo, wamejaa ushamba wa kupiga miluzi na kulia uchuro... ovyo kila waonapo kijani. Wana akili hawa ?

Ulichoshindwa kuelewa ni jinsi rangi hiyo ilivyochafuliwa na mafisadi waliojificha humo baada ya kifo cha Baba wa Taifa, imefikia hatua kama ya mbwa kuona shetani usiku, hivyo wanaozomea hawajakosea maana shetani kumwona ni kazi ndiyo maana hata wewe ndugu yetu umeshindwa kumwona, sasa wafuate wanaomwona wakujuze uondokane na hali uliyonayo, usijezidiwa maarifa hata na wanyama wanaoweza kutambua uozo na uchafu wa mafisadi unaotoa uvundo na harufu kali.
 
Katika mambo yaliyousikitisha umma wa wastaarabu wa Tanzania katika kampeni za Arumeru Mashariki ni kauli chafu iliyotolewa na mbunge wa mtera (sijui ni mheshimiwa au ni kichaa) Livingistone Lusinde. Pamoja na mambo maneno mengine aliyoongea kwa kujiamini ni suala la kudai kuwa Mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini alipata alipata bwana wakati akiwa mahabusu. Ni maneno ya aibu kutoka kwa mwanachama wa chama ambacho serikali yake inajitapa kuwa inafuata utawala wa sheria. Ni kauli ya kusikitisha ila kwa maana nyingine inataka kutupa ujumbe ufuatao:-

Kwa kuwa jeshi la magereza halijakanusha kutokea kwa kitendo hicho, na kwakuwa maneno hayo yalitoka kwa mtu wa CCM, hii inatuthibitishia kuwa hata kama Lema hakupata bwana, Serikali ya CCM ikishirikiana na jeshi la magereza huwa inaweka mafirauni inaowafahamu ndani ya mahabusu ili kuwafanyia vitendo vibaya watu ambao serikali ya CCM inawabambikizia kesi.


Kwa kuwa CCM haijamkemea wala kumwadhibu huyo mwanachama wake, hii inatufanya tuamini kuwa serikali ya CCM inafadhili na kusimamia vitendo vya udhalilishaji wa raia wake inayotamba kuwa waliiweka madarakani kwa ushindi wa Tsunami.
Kama binadamu wasio na hatia walipoteza maisha yao katika sakata la mabomu Gongo la Mbota na Mbagala na hakuna aliyewajibishwa? unategemea hili la Lusinde kuhojiwa?
 
Wafuasi wa CDM walio wengi wamefanana kabisa na wamachinga wa kariakoo, wamejaa ushamba wa kupiga miluzi na kulia uchuro... ovyo kila waonapo kijani. Wana akili hawa ?

Ni watanzania au hapana! Maana unataka kutwambia kuwa Ccm ni ya matajiri,na Cdm ni ya wanyonge! Kuna siku unyonge utaushinda utajiri! Hapo ndo kitakuwa kilio cha kusaga meno!
 
Wananchi wakimbeba kumpeleka jukwaani kuhutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Kijiji cha Makiba kata ya Makiba, Arumeru Mashariki jana. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Hafsa Kazinja wa TOT akikamua Uwanja wa mpira wa Makiba
Mbunge wa Mtera, Mjumbea wa NEC ya CCM, Livingstone Lusinde aka Kibajaji akihutubia Makiba.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdalla Jma akihutubia mkutano wa kampeni uwanja wa mpira wa kijiji cha Makiba.
Nchemba akihutubia Makiba

Maelfu ya watu mkutano wa kampeni za CCM Makiba
Watu walikuwa wanaenda kusikiliza sera CDM, Watoto na waruga ruga walikuwa wanakuja kuburudika CCM, HV JARIBU KUFIKIR KAMPEN ZA CCM BILA WASANII ZINGEKUAJE, NADHANI HAKUNA AMBAYE ANGEHUDHURIA
 
Huyu sio Mheshimiwa,bali ni mhuni aliyekosa kuelimika na aliyekosa ustaarabu!hii ndio aina ya viongozi wa c.c.m ya sasa
 
Huyu sio Mheshimiwa,bali ni mhuni aliyekosa kuelimika na aliyekosa ustaarabu!hii ndio aina ya viongozi wa c.c.m ya sasa

Anafaa kufungiwa jiwe kubwa shingoni na kutoswa baharini.
 
Back
Top Bottom