Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
- Thread starter
- #41
umeanza mwenyewe kuwa unajua where balali is....lakini ur just rambling in your sentences with no any explaination,hapa naona ni usanii tuu unaendelea la sivyo jibu swali u just started.
Nimesema kuwa najua aliko Balali na nimempa Kikwete nafasi ya kujua kila kitu kuhusu Balali first hand (just in case alikuwa hajui hili).
Katika situation ambayo kuna kundi la watu mashuhuri linataka kuona mtu fulani akiwa amekufa, inabidi hao wanaosubiria kifo cha Balali waendelee kupandwa pressure na mizuka.
Kikwete kwa vile ameahidi kushughulikia hili na kutoa report kwa wananchi hivi karibuni, natumaini atatumia hii nafasi kusafisha uovu wote unaomzunguka katika issue ya Balali!