FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Tz ni usanii mtupu. Ameenda kutafuta jinsi gani amshughulikie Chenge!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAPINGANA NA KAULI YA MUUNGWANAS KUWA ALIJIANDAA ZAIDI YA MIAKA KUMI KUWA RAIS..KUNA TATIZO KAMA ALIJIANDAA MIAKA YOTE HIYO KULIKONI AKASHINDWAA KUTUANDALIA FIRST LADY,AKASHINWA HATA KUMPELEKA ZIARA ZA KUOSHA MACHO...NA HATA ENGLISH COURSE NJE...HATA KAMA NI KUKUZA LUGHA KUSHINDWA KUONGEA KINGEREZA FASAHA ..HAIVUTIII SANA....WAGOMBEA WENGI WANA KAWAIDA YA KUWASOMESHA WAKE ZAO ILI KUWAANDAAA..HILI KIKWETE HAKULIFANYA KABISA KWA SALMA...MIAKA KUMI INGETOSHA KUMFANYA SALMA AMBAYE NI MWALIMU WA UPE..KUWA NA DEGEREE YA UZAMILI..
......KINACHOONEKANA HAPO FIRST LADY NI MSHAMBA WA SAFARI BADO.....WAJIBU WA KWANZA WA FIRST LADY NI KUONGOZANA NA RAIS KADIRI IWEZEKANAVYO ESPECIALLY NJE YA NCHI HATAKIWI KUKOSA...JUST LOOK PRESIDA YUPO ZIARA YA KIKAZI WIKI MBILI NZIMA AKIWA BARCHELOR[HII NI TAFSIRI GANI..!!]....
KAMA MKEWE ATAJEUKA TENA KUMFUATA MAREKANI ..SI GHARAMA ZAIDI...FIRST LADIES WOTE HUTUMIA FURSA YA ZIARA ZA WAUME ZAO KUFANYA KAZI ZA KIJAMII NA FUNDRISING..NA SI KILA MMOJA KUPITA NJIA YAKE....
MKE NA MUME RAIS NI SURA YA FAMILIA YA KWANZA YA NCHI LAZIMA IWE MFANO WA UTENDAJI KAZI...PAMOJA NA MKAPA KUHISIWA HAWAELEWANI NA MKEWE ..HATA MARA MOJA HAWAKUSAHAU JUKUMU LA KUWA PAMOJA KILA MAHALA ..KAMA MFANO WA FAMILIA NAMBA MOJA[REGARDLESS OF WHAT IS SAID TO HAPPEN].....
SIKU HIZI TUNAYE RAIS NA MKEWE AMABAYE UKISIKIA HATA NYUMBANI YUPO ZIARANI KAGERA ...CLIP INAYOFUATA UTASIKIA MKEWE YUPO ZANZIBAR..UKISIKIKIA RAIS YUPO MAPUMZIKONI...MIKUMI ..CLIP INAYOFUATIA UNAMUONA MKEWE YUKO KWENYE SHEREHE YA RUSHA ROHO ZANZIBAR...
Jamani we have to be proud og our lugha...umeona ma first lady wa G8 wote wanongea perfect english lakini kila wanapotua hotuba wanaongea lugha zao.
Kwa hiyo Salma anapoongea swahili anawakilisha tumpongeze jamani
Tz ni usanii mtupu. Ameenda kutafuta jinsi gani amshughulikie Chenge!
Kaja kuhakikisha - Boyz to Men watakuwepo mkutano wa Sullivan!.. haa haa haa emergency!
Ndugu yangu kuongea kiingereza sioni kama ni kigezo cha kuwa First lady mzuri, kuna mafirst lady wengi tu duniani hawajui kuongea kiingereza wala kifaransa, na wanafanya kazi nzuri sana kuliko hata hao wanaojua kuongea hizo lugha, kwanza ukumbuke kuwa the whole concept of first lady kwetu halina maana sana, mainly symbolic role, sana sana kazi yake ni kuwa anatakiwa kututunzia rais wetu vizuri. Na hilo la kusema familia namba moja halina maana sana, kama some of the members in same family wanahusishwa na ufisadi na ujanja ujanja mwingine. Wengine husafiri kwa malengo ya kupenda kusafiri tu na ulimbukeni labda na kuwapa mshiko wanaoongozana naye, na sio kusafiri kwa ajili ya kutafuta maslahi ya nchi. Sasa kama ingekuwa hiyo unayosema ya kupewa mafunzo ya u-first lady sijui nani angelipia hizo gharama, naona concept yote ni articial sana
Mimi nafikiri swala hapa sio kujua kuongea kiingereza, la hasha, swala ni elimu ya mama Salma.JK amekuwa waziri kwa muda mrefu sana wa nchi yetu, hususan waziri wa mambo ya nje kwa miaka kumi. Sasa swali ni kwamba inakuwaje kiongozi mwandamizi wa serikali anakuwa na mke mwenye elimu duni (mwalimu wa shule ya msingi kwa muda huu wote)? JK ameshindwa kumhamasisha mke kusoma atakuwa na moyo wa kuwaendeleza watanzania kweli? kuna usemi usemao 'charity begins at home' sasa mkuu ameshindwa nyumbani kwake ataweza kwa taifa letu? kama mama Salma angejiendeleza kielimu, asingetupa aibu ya kuongea kiswahili wakati ameenda kuomba msaada wa NGO yake.
balali yuko wapi kwani?
MK,
I thought this is WHERE WE DARE TO TALK OPENLY!!!!
Mkuu,
Balali yuko kwenye undisclosed location between hell and heaven.
So far that's what can be said for now!
Asante