Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Wanapiga makasia kwa furaha na kasi kuelekea kule ambako maji yanaelekea,.... maskini hawajui ule unaoonekana kuwa wepesi wa makasia na kasi ya maji unatupeleka kwenye maporomoko ya maji ambako kuna mawe na miamba........