Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa juhudi zako za kutatua matatizo yetu wana ubungo,ubungo ni sio jimbo dogo na pia lina matatizo mengi nianze na machache:
mfano:tatizo la hosp ijengwe iakamilike watu tuanze kupata tiba,stendi kiingilio walau kishuke kiwe sh 50,mabweni ya wanafunzi udsm yaongezwe n.k.
Nakutakia kazi njema, tunapenda kuona maendeleo sio maneno tu,iwepo tofauti kati ya kipindi akiwa mbunge anatoka ccm na sasa anatoka chadema.
- Wanafunzi wa udsm wanaolala watatu watatu una mbinu gani za kutatua tatizo hili na litaisha lini?
- kumekuwa na tatizo la foleni kubwa sana hasa mitaa ya ubungo hili utalitatua lini?
- ubungo hatuna hosipital ,wengine hawana uwezo wa kusafirisha watu amana au mwananyamala ,lini tutakuwa na hospital yetu ubungo?
- wanafunzi wanaofukuzwa je kama ubunge wao na mtetezi wao umepanga kuchukua hatua gani?
- kiingilio ubungo kwa shilingi 200 je hilo nalo utasaidiaje maana hapo walalahoi ndio wanaoteseka?
- stendi ya ndogo ya daladala ubungo kumekuwa na vijana wacheza kamari na wezi mchana kweupe na watu wenyewe sio wageni kila siku wako hapohapo achana na wanaouza vipande vya sabuni na kujidai ni simu kwa hili una mkakati gani?
- kumekuwa na tatizo la ajira kama mbunge ni mbinu gani utaokoa vijana wa jimbo lako na hili tatizo la ajira
mfano:tatizo la hosp ijengwe iakamilike watu tuanze kupata tiba,stendi kiingilio walau kishuke kiwe sh 50,mabweni ya wanafunzi udsm yaongezwe n.k.
Nakutakia kazi njema, tunapenda kuona maendeleo sio maneno tu,iwepo tofauti kati ya kipindi akiwa mbunge anatoka ccm na sasa anatoka chadema.