Kitambi ndio afya?
Kwa hiyo ukiwa na kitambi ndio haujachakaa au?Kweli watu tuna mitazamo tofauti.Inasikitisha!
Hivi hapo kiunoni palipojikunja pana nini?
Mvi anazo kibao ila anapaka kanta ili aonekane bado wamo na anavuma. Kitambi kimefungwa na mkanda maalumu wa kazi hiyo ili aonekane hana tamaa ya lishe kama ya kaka yake Ben MkapaMvi kibao ndani ya siku kadhaa tu, nywele hajachana, uso umepauka kama sox za mchawi, cheek bones nje nje, wrinkles kwa sana, smile fake,sunken eye sockets kama skull na mabega yameanza kupanda juu.
mna macho lakini hamuoni!
Nyambafu.
Atakuwa kajifunga hirizi alizopewa na sheikh yahaya