kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Hongera sana Mh Zambi. Soko la kahawa limesheheni sana SIASA ambayo si hasa. Watu wa kaskazini wameitawala TCB miaka nenda miaka rudi kama vile wao ni wakulima stadi wa kahawa pekee. ndo maana wana Kagera wanaona heri kuuza kahawa yao Uganda pamoja na kupata kipato zaidi Uganda.
Kahawa ni zao dada na Pamba katika kuingiza hela za kigeni nchi hii - Pinda aache porojo zake alishughulikie suala hili bila kupepesa macho.
Viva Zambi.
waziri mkuu japo mtoto wa mkulima ni nyoka wa kibisa hana jipya , jmabo hili analifahamu kwa kina , je kama halijifahamu uslama wa taifa inafanya kazi gani kuhujumu uchumi wetu?
Pia mwaka jana mtoto wa mkulima alikwenda mwanza akatangaza bei ya juu ya 1,200/= kilo , baadaye magembe akaenda hukohuko na kutangaza kuiteremsha ikaw chini kwa T.shs.300/= ;wala mtoto wa mkulima hakufanya lolote japokuwa kulizusha malalamiko mengi kutoka kwa wakulima.
Pia magembe amekuwa akituhumiwa kuwakigia kifua matendaji wakuu wa bodi ya pamba huku wilifu wakifanya ubadhirifu mbalimbali.xaxa kama mtoto wa mkulima kitengo cha usalama wa taifa kikuu cha kuhusu masuala ya uchumi na viongozi, mbona kipo kwake , maake hajui hata hili?maghembe kuna kitu anakula na wakubwa hawa.