Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Leo kuanzia saa Nane mchana Mhe.Zitto atakuwepo jimboni Rombo kuhitimisha Kampeni za Udiwani kata ya Nanjara Reha. Kata hii ni kati ya kata zaidi ya 13 ambazo CHADEMA ina uhakika wa kushinda KWA KISHINDO.
(c) Mhe.Joseph Selasini Facebook Page.
Nawatakia kila la heri Makamanda na wapiga Kura wote!.
(c) Mhe.Joseph Selasini Facebook Page.
Nawatakia kila la heri Makamanda na wapiga Kura wote!.