Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
wasira ni janga la kitaifa...
Anazeeka vibaya huyu Nyani!
wasira ni janga la kitaifa...
Anasema Registraa wa vyama vya siasa ni wa serikali sio wa CCM na maamuzi yake ya kufuta chama hawawezi kuhijiwa mahakamani.
Swali: serikali inatokana na chama gani?
Raisi = Mwenyekiti wa Chanma
Makamu/ Mwawaziri ndio wajumbe wa kamati/halmashauri za chama
Hapo utatenganishaje chama na serikali?
...Wanaweka mikakati ya kuifuta rasmi CDM sasa wameamua kuanza kupima upepo kwa kuzungumzia uwezekano wa hili kutokea. Wakishaupima upepo na kufanya tathmimn yao ya kile kitakachojiri iwapo wataifuta CDM basi wanaweza kuamua kuifuta au la.
Anasema Registraa wa vyama vya siasa ni wa serikali sio wa CCM na maamuzi yake ya kufuta chama hawawezi kuhijiwa mahakamani.
Swali: serikali inatokana na chama gani?
Raisi = Mwenyekiti wa Chanma
Makamu/ Mwawaziri ndio wajumbe wa kamati/halmashauri za chama
Hapo utatenganishaje chama na serikali?
SWALI LA KUJIULIZA WANA CDM, SLAA ALISEMA ANAJUA KAZI ZA KITAIFA NA ALIGHAIRISHA KWENDA IRNGA KUSUBILI SENSA, JE BAADA YA OFISI YA TAKWIMU KUTANGAZA KUEXTEND MUDA WA KUMALIZIA KUHESABU, SLAA KAMA KIONGOZ MWENYE BUSARA NA MWENYE KUHESHIMU SHERIA ZA NCH KWA NN ASIWE MVUMILIVU MPAKA KUWE TULIVU? <br>KWANGU MI NAMUONA SLAA KAMA KIONGOZ ASIYE NA SUBIRA MWENY KUPENDA MABAVU ANAYEPENDA KUWA JUU YA SHERIA KWA MWAMVULI WA KUTOPENDA KUBURUZWA.....NA SIDHAN KAMA TZ ITAJENGWA KWA MISING HIYO. JF TUACHE UNAZ WA VYAMA ZUNGUMZIA HALI HALISI YA KIONGOZ SLAA.
huyu babu anazeeka vibaya,anasema eti wale washabiki wa cdm na wandishi wa habari waliomtukana aliposema kuwa cdm itafutwa waendelee tu kumtukana kwa kuwa matusi hayaui.ANA LAANA SANA HUYU MZEE
Tusipojiangalia na kujitambua...
Wanasiasa wasipoamua kuwa na ziada ya busara...
Polisi wataendelea kuuwa na wananchi wataendelea kuuawa KISA SIASA...
SIASA ZENYEWE ZA NCHI HII .. SIASA MATAKATAKA!!
LAZIMA TUJITAMBUE.. NA SANDUKU LA KURA PEKEE NDIO MKOMBOZI WA NCHI HII! (kwanini nasema hivyo? sitarajii katiba iwe tayari kabla ya uchaguzi ujao!)
Kuna mwana JF mmoja akichangia ktk sredi moja baada ya kifo cha Daudi Mwangosi alisema vikao vya Wasira, Mwigulu na baadhi ya makamanda wa Polisi nchini,ndivyo vinasababisha mauaji ya Polisi kuua wananchi wasiokua na hatia. Kwa mtaalamu yoyote wa saikolojia akimwangalia Wasira na Mwigulu wakizungumzia CDM,inatosha kuelewa kinachoendelea nchini. Lakini nadhani pressure inaongezeka kwa wakuu wa vyombo vya usalama kuendelea kutumikia wanasiasa wachovu wa CCM.
SWALI LA KUJIULIZA WANA CDM, SLAA ALISEMA ANAJUA KAZI ZA KITAIFA NA ALIGHAIRISHA KWENDA IRNGA KUSUBILI SENSA, JE BAADA YA OFISI YA TAKWIMU KUTANGAZA KUEXTEND MUDA WA KUMALIZIA KUHESABU, SLAA KAMA KIONGOZ MWENYE BUSARA NA MWENYE KUHESHIMU SHERIA ZA NCH KWA NN ASIWE MVUMILIVU MPAKA KUWE TULIVU? <br>KWANGU MI NAMUONA SLAA KAMA KIONGOZ ASIYE NA SUBIRA MWENY KUPENDA MABAVU ANAYEPENDA KUWA JUU YA SHERIA KWA MWAMVULI WA KUTOPENDA KUBURUZWA.....NA SIDHAN KAMA TZ ITAJENGWA KWA MISING HIYO. JF TUACHE UNAZ WA VYAMA ZUNGUMZIA HALI HALISI YA KIONGOZ SLAA.