............. MUNGU TUSAIDIE TUVUKE SALAMA. Katiba ni yetu sote tusikubali itekwe nyara...........
Kweli
mimi naogopa sana hapa ilipo kama vile imemilikiwa na kundi moja fulani, halitaki kitumbua kiguswe, na sababu za kichumi na kiusalama zipo. Je itawezekana kuirudisha katiba kwa wananchi? Nguvu ya dunia kwa sasa inaegemea makampuni makubwa, wameshikilia serikali zote zenye rasilimali ya aina yoyote kwa kuwakumbatia viongozi dhaifu wanaoongoza kwa kutumia katiba dhaifu,
tutaweza kweli wenzangu?
Kweli
mimi naogopa sana hapa ilipo kama vile imemilikiwa na kundi moja fulani, halitaki kitumbua kiguswe, na sababu za kichumi na kiusalama zipo. Je itawezekana kuirudisha katiba kwa wananchi? Nguvu ya dunia kwa sasa inaegemea makampuni makubwa, wameshikilia serikali zote zenye rasilimali ya aina yoyote kwa kuwakumbatia viongozi dhaifu wanaoongoza kwa kutumia katiba dhaifu,
tutaweza kweli wenzangu?