kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Kwa wananchi wote wenye kiu ya kufahamu msimamo wa CHADEMA, Wamsikilize Mh; Lissu WAPO RADIO yupo hewani sasa..
tupe frequency za wako Radio -- pleaseKwa wananchi wote wenye kiu ya kufahamu msimamo wa CHADEMA, Wamsikilize Mh; Lissu WAPO RADIO yupo hewani sasa..
Frequency hizi kwa Dar es salaamtupe frequency za wako Radio -- please
anazungusha tu,hana majibu ya kueleweka.Kuna tatizo la uongozi ndani ya CDM
Tundu Lissu, ebu acheni kuwachanganya wananchi wapenda amani.
Juzi wewe si ulikuwa Ikulu na mkoba wako umekaa kwenye sofa unakunywa juice na Rais uku unacheka kwa furaha mnagongeana na Prof. Safari.
Leo tena umekwenda kujificha kwenye radio gani sijui unaleta ngonjera.
Kwa nini mlikwenda Ikulu wakati Rais hamumtambui?
Acheni usanii...
Tundu Lissu, ebu acheni kuwachanganya wananchi wapenda amani.
Juzi wewe si ulikuwa Ikulu na mkoba wako umekaa kwenye sofa unakunywa juice na Rais uku unacheka kwa furaha mnagongeana na Prof. Safari.
Leo tena umekwenda kujificha kwenye radio gani sijui unaleta ngonjera.
Kwa nini mlikwenda Ikulu wakati Rais hamumtambui?
Acheni usanii...
Nani kakudanganya? au unadhani CDM ni CCM?
Tundu Lissu, ebu acheni kuwachanganya wananchi wapenda amani.
Juzi wewe si ulikuwa Ikulu na mkoba wako umekaa kwenye sofa unakunywa juice na Rais uku unacheka kwa furaha mnagongeana na Prof. Safari.
Leo tena umekwenda kujificha kwenye radio gani sijui unaleta ngonjera.
Kwa nini mlikwenda Ikulu wakati Rais hamumtambui?
Acheni usanii...
jamaa anadai madai ya cdm rais alisema ni ya kweli tena ya msingi isipokuwa anawaogopa wabunge wa ccm asiposaini.jamaa ni muongo asiye na aibu,kama ni hivyo kwa nini walikubaliana na wakasaini.Jamaa falsafa yake ni siasa ni uongo.pamba....v
Tundu Lissu, ebu acheni kuwachanganya wananchi wapenda amani.
Juzi wewe si ulikuwa Ikulu na mkoba wako umekaa kwenye sofa unakunywa juice na Rais uku unacheka kwa furaha mnagongeana na Prof. Safari.
Leo tena umekwenda kujificha kwenye radio gani sijui unaleta ngonjera.
Kwa nini mlikwenda Ikulu wakati Rais hamumtambui?
Acheni usanii...
anazungusha tu,hana majibu ya kueleweka.Kuna tatizo la uongozi ndani ya CDM
Swadakta maneno yako.
Huyu ndie anawadanganya na kuwaburuza wenzie. Hata Bungeni aliwaeleza wasubiri kwanza wasitoke mpaka yeye atakapowasilisha hotba yake ya mawazo ya kambi ya upinzani kuhusu mchakato huo wa katiba. Na baada ya kuwasilisha tu aliwataka wabunge wa Chadema watoke na sio kutetea kile alichoandika.
kama kweli walitaka kutoka Bungeni. Kwanini aliwasilisha hotba yake ya kambi ya upinzani kuhusu mchakato wa katiba yenu?
Vile vile yeye na Chadema wanasema ninim kuhusu kupandishwa kwa posho zao? mbona walikaa kimya mpaka magazeti yanafichua?
hao ndio wanafiki wakubwa sana
Hujui uandikacho, sentesi zina, kama, kwanini, kuwa ndivyo viunganishi vikuu vya semi zako ambazo ni mashaka matupu, huna elimu ya kushawishi. ichukie ccm
Jipambanue unapenda kutawaliwa ama unapenda kujitawala! yani hueleweki Kabisaa