The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
hawez mpaka sababu za msingi na hana.
Safi sana ndugu yangu. Sina katiba hapa ila naomba uangalie kipengele kinachohusu nini kinaweza kutokea endapo Bunge litakataa kupitisha hoja ya serikali kama vile bajeti. Na labda kama kuna kipengele kinachogusia nini kifanyike endapo Rais atatofautiana na Bunge katika maamuzi mengine yaliyofanywa na Bunge!
Wabaya wa Muheshimiwa ni akina nani hao? Chochote kitakachofanyika kwa sasa katika vitu hivyo viwili ni kuwaongezea mzigo mwingine mzito walipa kodi wa tz.Ili uwafunge goli wabaya wako. Tuanze upya kwani sasa unajua urais ni zaidi ya ving'ora na saluti.
Mkuu wa shamba.Ili uwafunge goli wabaya wako. Tuanze upya kwani sasa unajua urais ni zaidi ya ving'ora na saluti.
Akifanya hivi kwa hiari yake atakuwa anaongoza mkondo wa maji ya mafuriko; akisubiri mafuriko mengine ya Lowassa atalazimikawkuitafuta safina ya Nuhu
Mkuu unaweza ukatupa whats cooking?... Najua there must be some critical info behind this statement.
he can't
Ili uwafunge goli wabaya wako. Tuanze upya kwani sasa unajua urais ni zaidi ya ving'ora na saluti.
Mr. Mtoto,
Kwa ibala ulizo zitoa hapo juu na kwa maelezo yako yafuatayo
"Lakini wazalendo si utani rais ana nguvu...itabidi na mimi nije kuwa rais. Ndo maana anakuwa fisadi na kutojali wananchi. Kwa hiyo rais akitoka Chama A, na bunge likawa na majority ya Chama B, basi Rais anaweza kuvunja Bunge kwa madai kuwa hawezi kuunda serikali. Huo uchaguzi unaofuata ni utakuwa wa Wabunge pekee au hadi rais?"
Na ndio maana wengi hudai katiba ifanyiwe marekebisho maana ina walinda sana viongozi wengi walioko madarakani kwa kuipindisha katiba kwa maamuzi yao binafsi na manufaaa yao wao wenywe wayatakavyo.
Mtoto,
Mkuu wangu wala sii kazi kubwa kabisa.. rais anaweza tumia kifungu cha E kama anavyojieleza yeye na ikakubalika kisheria. Sii lazima unachokiona wewe ndicho halali ya kuwezesha kifungu cha D au E..
Siku zote marais wanapovunja bunge huwa hawana sababu nje ya kile wanachokiona wao, vifungu hivi vinaweza kabisa kukubaliana na mtazamo waoa mabo sii lazima uwe sawa na hali halisi.