motema yapembe
Member
- Apr 1, 2012
- 22
- 2
duh nilikwa na hamu ya kuona serkali mpya, looh nachoona pinda anachoongea chenga tupu...! duh bongo du kinaa!
Huyu pm kapinda sana sawa tu na mama kiroboto
kiroboto ameongeza muda
Pinda anaelezea mikakati ya kuondoa changamoto za viwanda nchini...kwa kweli serikali inafanya jitihada nyingi tofauti na upotoshaji unaofanywa.
unatafuta mme wewe