Mhe. Nundu Vs Mhe.Mfutakamba hapatoshi!!!!!!

CHAKA CHUWA

Member
May 26, 2011
69
10
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF
 
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF

Yangu macho.
 
I like Prof Omar Nundu..the guy seems to have a vision....:flame::flame: kuliko Mfutakamba Athman jamaa ni PhD holder lakini ana mabobish
 
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF
Hizi taarifa si za kweli, ugomvi wao ulishamamlizwa kwa kutumia vikao vyetu ndani ya chama. Usipende kuwagombanisha wabunge wetu
 
Cha msingi Mfutakamba amgawie Mwenzake japo Milion 700 tu. Aiwezekana achukue 3 Billions peke yake huku Bosi wake akirudi mswaki.


TUMBIRI wa JF,
PO BOX - PM JF.
 
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF

Tuwape moyo WA nini ilhali wameondoka kwa Machafu?!! Haijalishi wanahusika kwa kiwango gani lakini kikubwa at least kuna hatua sahihi zimechukuliwa kunusuru inji na walafi. Najua wengi wamebaki lakini mapambano yanaendelea.
 
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF


Wakawekeane kinyongo na wake zao waone
 
Kumbe walikuwa na ugomvi hata chama kilifahamu hilo!! Then Chama nacho Hakifai maana walitakiwa kuondolewa mapema na CCM (Magamba)
Hizi taarifa si za kweli, ugomvi wao ulishamamlizwa kwa kutumia vikao vyetu ndani ya chama. Usipende kuwagombanisha wabunge wetu
 
Hawa jamaa wote hawakufaa maana walionja kidogo tu wakatunisha misuli kama chui. Especially huyu aliyekuwa waziri analugha za kuudhi hata bungeni analia lia kama mtoto sijui ni toddler ama akulelewe vizuri udogoni. Mtu mzima kama yule kulia mbele ya wanaume wenzio tena kwa kazi ya taifa ni kujikosha uhurumiwe alhali huna uwezo.
Akafie mbali na huyo mwenzie aliyeongwa na wageni (MUUZA NCHI) kwa trip moja ya nje (KINYONGA)
 
Wana JF;
Jana tarehe 8/05/12 majira ya saa sita mchana nilikuwa pale chini kwenye jengo la Wizara ya Uchukuzi ilikuwa ni siku ambayo Viongozi waliokuwepo wakiongoza Wizara hizo walikuja kukabidhiana Ofisi na waheshimiwa walioteuliwa kuongoza Wizara hiyo.Nikiwa pale chini ghafla alitelemka Mhe. Mfutakamba kwenye gari na kuelekea kwenye lango kuu la kuingia Wizarani hapo ghafla mhe.Nundu nae alikuwa ameshamaliza zoezi lake la kukabidhi na anatoka kueleka kwenye gari lake tayari kwa kuondoka. Kitu ambacho kimenisukama kuandika thread hii ni hao Viongozi tenawalikuwa mawaziri wa Wizara moja kupishana kama watu ambao hawajuani hata hawajawahi kuonana kabisa katika Dunia hii. Najua katika siasa kuna mambo mengi ya kukwazana hasa katika suala zima la maslahi lakini tayari unga umeshamwagika kuendeleza chuki baina yao sioni kama ni jambo la heri.

Naleta kwenu wana JF ili tuwashauri hao waliotoswa wasiendeleze chuki kati yao najua hata mhe.Chami na Nyalandu mambo ni yale yale tuwape moyo.
MWANA JF

Watayarishie pambano la ndondi za kulipwa ili tujue moja.
Mimi nitalipia kuona mchezo huo
 
ugomvi wao siyo kwa maslahi ya umma na tena wote hawana sifa ya msingi ya kuwa viongizi wetu.
 
Ningekuwa Rais ningempa Mh Omar Nundu uwaziri wa utawala bora. Ni mtu muadilifu asiyependa ubabaishaji.
too late for him. ajiandae na kuvuliwa ubunge hukop kwake TAnga. kwanza wananchi wake walishamweleza jk kuwa hatakiwi. aende salama.
 
Back
Top Bottom