Ni wachache wanaweza kukaa katika kundi la mafisadi au wavuta bangi wakatoka salama.Lazima ukubali imani unayoitumikia hivyo basi Nkamia anaimani mpya.
Pole Nkamia lakini huku sisi hali sio shwali kama unavyoamini.Tunahisi hatuna Baba wala mama.Lakini hivyo vyote ni viashiria vya mabadiliko makubwa katika jamii yetu.
Pole Nkamia lakini huku sisi hali sio shwali kama unavyoamini.Tunahisi hatuna Baba wala mama.Lakini hivyo vyote ni viashiria vya mabadiliko makubwa katika jamii yetu.