Lakini hiyo mikakati yenu ndiyo suluhisho la matatizo yanayolikabili taifa? Kwamba mkishaianika CDM gharama za maisha zitashuka, elimu itakuwa bora, ubadhirifu utaisha, malighafi za nchi zitalindwa, ajira zitapatikana?
Haya ndiyo mambo yaliyopo kwenye fikra za watu na si mashindano ya kuchafuana vyama kisiasa.
dah!kaka umetisha sana,maana huyu jamaa rejao mimi simuelewagi kabisa.eti tunapanga kuichafua chadema,hivi huyu jamaa anathink kweli?katika kipindi kigumu kama hiki ambacho nchi inapitia kama kuongezeka kwa deni la taifa,tatizo la ajira,mfumuko wa bei na mengineyo mengi bwana rejao wewe huoni hilo kua ni tatizo kwako tatizo ni chadema?we wa ovyo kabisa!SHAME ON YOU REJAO