Maswali ya kujiuliza hivi.....
Hivi inakuaje kiongozi kama Nape kuongea na vyombo vya habari huku akionyesha chain .
Hivi Chama hakina maadili yanayohusiana na mavazi.
Hivi alisahau au alifanya makusudi.
Hivi kiongozi mkubwa kama huyo anaonyesha mfano gani.
Hivi tukisema ameanza kulewa madaraka tutakuwa tumekosea.
Hivi kama ameanza na chain za dhahabu shingoni baadaye je.
Hivi akishauriwa kuwa kwa wakati huu chama kinajitahidi kurudisha imani kwa wananchi atasikia.
Na mwisho hivi ukiwa msemaje wa chama unasema kutoka kichwani mwako tu au unayo sema ni yale ambayo chama kimekutuma
Hivi inakuaje kiongozi kama Nape kuongea na vyombo vya habari huku akionyesha chain .
Hivi Chama hakina maadili yanayohusiana na mavazi.
Hivi alisahau au alifanya makusudi.
Hivi kiongozi mkubwa kama huyo anaonyesha mfano gani.
Hivi tukisema ameanza kulewa madaraka tutakuwa tumekosea.
Hivi kama ameanza na chain za dhahabu shingoni baadaye je.
Hivi akishauriwa kuwa kwa wakati huu chama kinajitahidi kurudisha imani kwa wananchi atasikia.
Na mwisho hivi ukiwa msemaje wa chama unasema kutoka kichwani mwako tu au unayo sema ni yale ambayo chama kimekutuma