Mhe Mnyika, hapa unaniangusha - Mfumuko wa bei

Lakini mkuu kama hoja ni vyama vya ushirika na serikali kuzalisha havikuwepo?leo viko wapi?cha msing hapa ni kubadili serikali na hayo mengine yatawezekana,leo huwezi kusema serikali ifufue viwanda vilikuwepo vyote wamebugia,leo huwezi kusema wafufue vyama vya ushirika,mashamba ya umma,yote yalikuwepo wakayatafuna,idea yako ni nzuri lakini nayo bado haiwezi kutekeleza chini ya serikali hii ya sisiemu
 
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!
 
Hivi hii sukari mnafanyia nini exactly? Ni kuweka kwenye Chai au kuna la ziada?, maana malalamiko kuhusu sukari ni mengi sana, sasa labda kuna kitu ninamiss.
 
Kizazi hiki tulichonacho tunahitaji viongozi wanaoweza kuthubutu na wanapoona tatizo hawalalamiki tu bali wanatafuta njia ya kulitatua, na hiki ndicho anachofanya Mnyika.
Wadau wenzangu bila kujali itikadi za chama au dini huu mfumko wa bei unamgusa kila mtu hivyo anapotokea kiongozi anayeanzisha njia ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo kubwa kama hiii tinachotakiwa si kumyumbisha bali kuiboresha hoja hiyo na kuonyesha tupo pamoja naye na katika hili Mnyika anahitaji support ya watanzania wote na tusirudi nyuma
 
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei

Na Tamali Vullu

(Tanzania Daima 24th Oct 2011)


"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.

Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."


My Take:

Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.

Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.

Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.

Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.

Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.

Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.

Ndugu,
SCOPO stood for PRESIDENTIAL STANDING COMMITTEE FOR PARASTATAL ORGANISATIONS nadhani wewe ulimaanisha NPC yaani National Pricing Commission au Tume ya Bei KAMA ILIVYOZOELEKA.........MBONA NAULI ZA MABASI NA BEI ZA MAFUTA BADO ZINADHIBITIWA NA SERIKALI KWA SASA WHY NOT HIVYO VINGINE?......Nadhani nia ya Mnyika sio Mbaya..........kumbuka hawa wafanya biashara wa vitu muhimu ndio wafadhili wakuu wa CCM
 
Mnyika has a point, this is kind of politician we need. We need people who can think and present things for our country benefit, we need parliament that is free and have members that unite for country sake.
Am worried about Tz parliament for its ability to grasp opposition proposals, well Mnyika and others plz get in touch with any public tools to air out development views so that people with access can be aware of what is going on.
Thanx Mnyika for giving us a general view with regards to your proposal, some one has been misleading us by presenting a shallow post
Being here in JF gave a lesson that there are great Thinkers who can say something and Poor Thinkers who can say anything.
 
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!

[h=2]The most well known indicator of inflation is the Consumer Price Index (CPI) which measures the average price of consumer goods and services purchased by households. In sum, Inflation is the rate at which the general level of prices is rising. High rates of inflation are often associated with fast growing economies where the demand for goods and services is higher that the country's productive capacity. The fight against inflation is done by central banks which control the money supply by increasing or decreasing short term interest rates. For instance, the Governing Council of the European Central Bank aims at keeping annual inflation under 2% to promote price stability and sustainable growth.[/h]


Venezuela25.8427.2026.9031.9022.50
Vietnam22.4211.756.5219.8712.75
Kenya17.324.515.3227.7212.00
Tanzania16.805.6012.2013.506.40
Angola13.7015.3114.0013.1811.78
Mongolia11.9014.301.9020.8015.10
Ukraine11.909.1012.3022.3016.60
Pakistan11.4715.4610.5223.348.79
Bangladesh11.298.288.51
Bolivia10.437.180.2611.8511.73
Nigeria10.3011.8013.9015.106.60
Mozambique9.9917.442.26
Argentina9.9010.907.707.208.50
Paraguay9.407.201.907.506.00
India8.999.4714.979.705.51
Kazakhstan8.707.807.3017.0010.80
Botswana8.607.405.8013.708.10
Ghana8.408.5816.0018.1012.70
Egypt8.2110.3013.5018.306.90
Algeria7.902.735.744.463.51
Brazil7.315.914.315.904.46
Russia7.208.808.8013.3011.90
Rwanda6.640.205.7022.306.60
Sri Lanka6.406.904.8014.4018.80
Turkey6.156.406.5310.108.39
China6.104.601.901.206.50
Hong Kong5.802.901.302.103.80
Iceland5.702.507.5018.135.86
South Africa5.703.506.309.508.90
Singapore5.504.60-0.505.503.70
Namibia5.303.107.0010.907.10
New Zealand5.304.002.003.403.20
Saudi Arabia5.305.404.258.986.47
Estonia5.205.72-1.716.989.57
United Kingdom5.203.702.903.102.10
Philippines4.803.104.408.003.90
Indonesia4.616.962.7811.066.59
Latvia4.602.40-1.4010.4014.00
Lithuania4.403.801.308.508.10
Slovakia4.301.300.504.403.40
South Korea4.303.502.804.143.61
Thailand4.293.003.500.403.20
Poland3.903.103.503.304.00
Tunisia3.904.004.104.105.10
United States3.901.502.700.104.10
Colombia3.733.172.007.675.69
Peru3.732.080.256.653.93
Finland3.702.90-0.503.502.60
Australia3.602.702.103.703.00
Austria3.602.301.101.503.50
Hungary3.604.705.603.507.40
Portugal3.602.50-0.100.802.70
Belgium3.553.400.302.703.10
Romania3.458.004.806.306.60
Malaysia3.402.201.104.402.40
Bulgaria3.304.500.607.8012.50
Chile3.303.00-1.067.766.27
Luxembourg3.302.781.801.093.40
Canada3.202.401.301.202.40
Sweden3.202.300.900.903.50
Mexico3.144.403.576.533.76
Greece3.105.202.602.003.90
Spain3.103.000.801.404.20
Euro Area3.002.200.901.603.10
Italy3.001.901.002.202.60
Israel2.902.703.903.803.40
Netherlands2.701.901.101.901.90
Germany2.601.700.801.103.10
Ireland2.601.30-5.001.154.70
Denmark2.502.801.402.402.30
France2.201.800.901.002.60
Qatar2.20-0.14-9.9613.16
Slovenia2.101.901.802.105.60
Czech Republic1.802.301.003.605.40
Morocco1.602.20-1.604.00
Norway1.602.802.002.102.80
Taiwan1.351.24-0.251.273.33
United Arab Emirates0.601.731.5612.3011.10
Switzerland0.500.500.280.702.00
Japan0.200.00-1.700.400.70
Country Latest 2010 2009 2008 2007



 
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!

[h=2]The most well known indicator of inflation is the Consumer Price Index (CPI) which measures the average price of consumer goods and services purchased by households. In sum, Inflation is the rate at which the general level of prices is rising. High rates of inflation are often associated with fast growing economies where the demand for goods and services is higher that the country’s productive capacity. The fight against inflation is done by central banks which control the money supply by increasing or decreasing short term interest rates. For instance, the Governing Council of the European Central Bank aims at keeping annual inflation under 2% to promote price stability and sustainable growth.[/h]


Venezuela25.8427.2026.9031.9022.50
Vietnam22.4211.756.5219.8712.75
Kenya17.324.515.3227.7212.00
Tanzania16.805.6012.2013.506.40
Angola13.7015.3114.0013.1811.78
Mongolia11.9014.301.9020.8015.10
Ukraine11.909.1012.3022.3016.60
Pakistan11.4715.4610.5223.348.79
Bangladesh11.298.288.51
Bolivia10.437.180.2611.8511.73
Nigeria10.3011.8013.9015.106.60
Mozambique9.9917.442.26
Argentina9.9010.907.707.208.50
Paraguay9.407.201.907.506.00
India8.999.4714.979.705.51
Kazakhstan8.707.807.3017.0010.80
Botswana8.607.405.8013.708.10
Ghana8.408.5816.0018.1012.70
Egypt8.2110.3013.5018.306.90
Algeria7.902.735.744.463.51
Brazil7.315.914.315.904.46
Russia7.208.808.8013.3011.90
Rwanda6.640.205.7022.306.60
Sri Lanka6.406.904.8014.4018.80
Turkey6.156.406.5310.108.39
China6.104.601.901.206.50
Hong Kong5.802.901.302.103.80
Iceland5.702.507.5018.135.86
South Africa5.703.506.309.508.90
Singapore5.504.60-0.505.503.70
Namibia5.303.107.0010.907.10
New Zealand5.304.002.003.403.20
Saudi Arabia5.305.404.258.986.47
Estonia5.205.72-1.716.989.57
United Kingdom5.203.702.903.102.10
Philippines4.803.104.408.003.90
Indonesia4.616.962.7811.066.59
Latvia4.602.40-1.4010.4014.00
Lithuania4.403.801.308.508.10
Slovakia4.301.300.504.403.40
South Korea4.303.502.804.143.61
Thailand4.293.003.500.403.20
Poland3.903.103.503.304.00
Tunisia3.904.004.104.105.10
United States3.901.502.700.104.10
Colombia3.733.172.007.675.69
Peru3.732.080.256.653.93
Finland3.702.90-0.503.502.60
Australia3.602.702.103.703.00
Austria3.602.301.101.503.50
Hungary3.604.705.603.507.40
Portugal3.602.50-0.100.802.70
Belgium3.553.400.302.703.10
Romania3.458.004.806.306.60
Malaysia3.402.201.104.402.40
Bulgaria3.304.500.607.8012.50
Chile3.303.00-1.067.766.27
Luxembourg3.302.781.801.093.40
Canada3.202.401.301.202.40
Sweden3.202.300.900.903.50
Mexico3.144.403.576.533.76
Greece3.105.202.602.003.90
Spain3.103.000.801.404.20
Euro Area3.002.200.901.603.10
Italy3.001.901.002.202.60
Israel2.902.703.903.803.40
Netherlands2.701.901.101.901.90
Germany2.601.700.801.103.10
Ireland2.601.30-5.001.154.70
Denmark2.502.801.402.402.30
France2.201.800.901.002.60
Qatar2.20-0.14-9.9613.16
Slovenia2.101.901.802.105.60
Czech Republic1.802.301.003.605.40
Morocco1.602.20-1.604.00
Norway1.602.802.002.102.80
Taiwan1.351.24-0.251.273.33
United Arab Emirates0.601.731.5612.3011.10
Switzerland0.500.500.280.702.00
Japan0.200.00-1.700.400.70
Country Latest 2010 2009 2008 2007



 
Ndugu,
SCOPO stood for PRESIDENTIAL STANDING COMMITTEE FOR PARASTATAL ORGANISATIONS nadhani wewe ulimaanisha NPC yaani National Pricing Commission au Tume ya Bei KAMA ILIVYOZOELEKA.........MBONA NAULI ZA MABASI NA BEI ZA MAFUTA BADO ZINADHIBITIWA NA SERIKALI KWA SASA WHY NOT HIVYO VINGINE?......Nadhani nia ya Mnyika sio Mbaya..........kumbuka hawa wafanya biashara wa vitu muhimu ndio wafadhili wakuu wa CCM
Thanks Safari ni Safari, my memory is failing me it seems!
Kweli ni Tume ya Bei ya miaka hiyooo!
Nisingependa kuingilia udhibiti wa sehemu ulizotaja(mabasi na mafuta) kwani tusibeze uwepo wa cartel katika bishara hizo.
 
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!


Mkuu, nafikiri una hoja ya msingi sana kwenye hili. Kwa maoni yangu, mfumuko wa bei wa Tanzania kwa miezi ya hivi karibuni umechagizwa sana na kupanda kwa bei za bidhaa tunazoagiza kutoka nje- haswa mafuta; na uzalishaji usiokidhi mahitaji. Tukiweza kupunguza kiasi cha mafuta tunachoagiza kutoka nje( kwa kuongeza ufanisi kwenye matumizi na sii tuongeza kodi kama unavyopendekeza) tungeweza kufikia malengo mawili kwa wakati mmoja: Kupunguza mfumuko wa bei na kuimarisha thamani ya shilingi yetu.

1) Kwa kupunguza manunuzi ya mafuta kutoka nje tutainusuru shilingi yetu- kwa kuwa mahitaji ya pesa za kigeni yatapungua. Kumbuka kuwa shilingi yetu inashuka thamani pale ambapo mahitaji ya fedha za kigeni ni makubwa kuliko upatikanaji.
2) Hali kadhalika, tukiweza kupunguza ununuzi wa mafuta kutoka nje tutapunguza pia mfumuko wa bei. Kumbuka kuwa bei za bidhaa zetu nyingi zimekuwa zikipanda kila bei ya mafuta inapopanda kwenye soko la dunia.

Swala la msingi la kujiuliza, tutaweza je basi kupunguza ununuzi wa mafuta kutoka nje? Hapa ni baadhi tu ya hatua za kuchuakua:

1) Mikakati ya kuboresha miundo mbinu ya usafiri lazima itekelezwe: Tanzania tunatumia mafuta mengi sana sii kwa sababu tuna magari mengi kuliko nchi nyingine ila ni kwa sababu ya miundo mbinu mibovu. Foleni za mijini na bara bara mbaya vijijini zinapoteza mafuta mengi sana. Mahala ambapo mtu ungetumia dakika tano unatumia Lisaa lizima.

2) Suala la umeme wa uhakika lipewe kipaumbele: Ulaji wa mafuta wakati wa mgao wa umeme ni mkubwa. Isitoshe, gharama za uzalishaji kwa kutumia majenerata nazo zinakuwa kubwa ukilinganisha na uzalishaji kwa kutumia umeme au wakati mwingine uzalishaji unapungua sana. Vyote hivi vinachangia mfumuko wa bei na kupunguza thamani ya shilingi.

3) Serikali ipunguze kuagiza magari ya anasa. Hili lina faida nyingi: Kwanza tutapunguza mahitaji ya fedha za kigeni zinazotumika kuagiza mashangingi; pili tutapunguza mahitaji ya mafuta yanayo tumiwa na magari haya. Kwa wataalam wa michuma mtakubaliana na mimi kwamba ulaji wa mafuta wa V8 si sawa na wa hard top.

4).. Umeme umekatika, nitarudi.
 
Majoja,

Nashukuru sana kwa maoni yako. Natamani sana kama kuna mwanahabari ambaye alikuwepo kwenye mkutano wangu wa jana aeleze kwa kina zaidi niliyoyangumza jana. Suala la kupeleka muswada wa sheria ya udhibiti wa bei ya bidhaa muhimu ilikuwa ni moja tu ya orodha ndefu ya njia nilizozieleza ambazo Tanzania inapaswa kuzichukua kama sehemu ya hatua za dharura za kukabiliana na kupanda kwa gharama za maisha ambako kwa sehemu kubwa kumechangiwa na mfumuko wa bei na kuporomoka kwa sarafu ya Tanzania. Suala la kuongeza uzalishaji nililisisitiza na kutaka hatua za dharura kwa msukumo wa Rais na Bunge. Katika kuongeza uzalishaji wa ndani naamini katika kupanua fursa kwa wazalishaji wadogo na wa kati katika sekta za kilimo na viwanda kama jambo la haraka. Hapa tutashughulikia tatizo la kutokuwa na uwiano wa urari wa kibiashara (balance of payment) ambapo sasa taifa letu ni la wachuuzi badala ya wazalishaji; tunanunua kuliko tunachouza. Lakini nilikwenda mbele zaidi kwa kueleza kwamba kutokana na matatizo katika nchi za magharibi hasa athari za mdodoro wa uchumi duniani na sasa matatizo ya kifedha Eurozone na udhaifu wa utegemezi wetu toka nje; hali ya kifedha ya nchi ni mbaya kwa kuwa serikali haijafunga mkanda- bado kuna ubadhirifu, ufisadi na matumizi mengine ya anasa wakati hali ya mapato hairidhishi. Kwa vyovote vile hatua za dharura zinahitajika na nikatoa mwito kwa Rais Kikwete akutane na tume ya mipango na baadaye akutane kwa dharura na baraza la mawaziri kuweka msukumo wa haraka kwa kuwa tunapokwenda kama taifa hali itakuwa tete; mfumuko wa bei umefikia 16.8%, kubadili dola moja kwenda shilingi ni 1700. Ni maoni yangu kwamba hatuwezi kuamini Wizara ya Fedha na Benki Kuu pekee katika kushughulikia hali hii; tunapaswa kuunganisha nguvu ya wadau wetu wote: wataalamu, sekta binafsi nk. Uongozi Mkuu wa nchi unapaswa kutoa msukumo unaohitajika kufikia azma hii. Naelewa kwamba gharama za vyakula na nishati zinamchango mkubwa sana katika mfumuko wa bei. Hata hivyo, ieleweke kwamba matatizo yetu ya chakula ni zaidi ya uzalishaji na ukame; tuna tatizo pia la usambazaji. kwa kuwa hivi sasa wakati ambapo kuna maeneo yana njaa na maeneo yenye chakula cha bei juu; kuna maeneo ya nchi yetu chakula kinaoza au kinauzwa bei chee. Ushahidi wa kwamba kuwa tuna matatizo ya kimfumo na kiuongozi ni kuwa hata chakula kutoka hifadhi ya taifa ambacho kilitolewa kwa maelezo kuwa kinakwenda kupunguza bei kwa gharama yako na yangu lengo husika halijafikiwa; bei bado iko juu na sehemu ya chakula hicho kinatoroshwa na kuuzwa kinyemela nje ya nchi. Matamko ya viongozi pekee ya kwamba bei ya sukari na sembe iwe kwa kiwango kilichotangazwa hayajasaidia. Walau kukiwa na sheria, tutapata nguvu nyingine ya kuwabana badala ya kutegemea kauli zao za kisiasa pekee. Tunaona kwamba pamoja na udhaifu wa EWURA katika upangaji wa bei elekezi na pia serikali kushindwa kupunguza kodi kwa kiwango tulichopendekeza bungeni na kuweka mifumo mizuri zaidi ya haraka ya uagizaji wa mafuta; bado walau bei elekezi inayotolewa inafuatwa kwa kuwa hatua hizo zinafanyika kwa misingi ya sheria sio kauli tu za kisiasa za viongozi. Hivyo; pamoja na taasisi zetu za fedha kuchukua hatua za kisera kudhibiti mfumuko wa bei na kuporomoka kwa shilingi; pamoja na hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa na Rais, Bunge na vyombo vingine za kimfumo na kitaasisi za kuboresha uzalishaji na usambazaji hususani wa vyakula na nishati (umeme, gesi asilia), tunahitaji pia kuweka mifumo ya kisheria. Mimi ni muumini wa mrengo wa kati, naamani katika soko la kijamii- yaani uchumi mchanganyiko; kwa kuweka pamoja misingi ya dola kuhusika katika uchumi (ambayo hutumiwa zaidi katika ujamaa) na uhuru wa soko (ambao hutumiwa zaidi katika mifumo ya kiliberali na kibepari). Hata hivyo, nasikitika kwamba nchi yetu haifuati ujamaa wala soko huria; ni nchi yenye mfumo wa soko holela. Wakati nikitoa mwito kwa Rais na Bunge kuzisimamia taasisi nyingine na kuongoza sekta binafsi na umma kunusuru hali ya mambo kwenye uzalishaji na usambazaji ili kupunguza mfumuko wa bei na kuporomoka kwa shilingi yetu; napenda pia pawepo na nguvu za kisheria hususani katika bidhaa chache na muhimu; Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo; hata baadhi ya nchi zenye kuamini katika soko huria, serikali na dola huingilia kati pale soko linaposhindwa au pale ambapo kuna ulazima wa kulinda maslahi ya umma. Ugumu wa maisha unaochangiwa na kupanda kwa bei na gharama ni tishio kwa uchumi na usalama wa nchi na wananchi ni suala ambalo tunahitaji kuunganisha nguvu kulishughulikia; tusipoziba ufa tutajenga ukuta. Na kwa kweli ni kati ya mambo ambayo wananchi wa jimbo la Ubungo wamenituma niwawakilishe, nilihoji suala hili kwenye mikutano ya hadhara, na nimepata ridhaa yao. Tuendelee kujadiliana kupata maoni zaidi

JJ

Asante sana Mhe. Mnyika kwa majibu yako ya kina yanayolenga kuondoa wasi wasi wa wadau kama mimi.
Hata hivyo kama ulivyoainisha , we have a basic problem.
Inflationary tendencies zina chochewa sana na matumizi makubwa ya sekta isiyozalisha, Serikali.
Mimi ingawaje ni mwana CCM naridhishwa sana na wabunge vijana wanapoipa changamoto Serikali, kisomi, ili iweze kujiendesha kwa tija inayostahili.
Tunajua fika kuwa Serikali haiwezi kuwa mzalishaji mali bali ni kama refa anaye wahimiza wachezaji kucheza kwa nidhamu na heshima inayostahili.
Tukirudi kwenye mada yenyewe, kunatatizo kubwa katika uzalishaji mali kwa maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali yenyewe na jamii.
Nashukuru umegusia uzalishaji wa chakula ambao bado si wa kuridhisha pamoja na ukweli kuwa nchi imeingiliwa sana na ulanguzi wa chakula kutokana na ukame katika nchi zinazotuzunguka.
Tuna kumbuka imebidi Waziri Mkuu awaamshe Jeshi la Polisi kutokana na tatizo sugu la utoroshaji wa chakula nje ya nchi, hii ni sehemu moja ambayo serikali ingeweza kufanya vizuri zaidi.

Uzalishaji wenyewe wa chakula vijijini na usafirishaji, bado vingeweza kupewa kipaumbele vya kutosha kukabili ukosefu wa chakula sehemu nyingine nchini.Si mudamrefu tuliposikia wakulima wa Sumbawanga wakililia kuuza chakula nje ya nchi wakati kuna sehemu nyingine nchini kuna njaa-sehemu ya pili ambayo serikali ingeweza kufanya vizuri zaidi.
Sehemu ya tatu yenye matatizo makubwa ni utawala bora kwa maana ya kujiridhisha kuwa serikali inatumia si zaid ya kile kilichomo kibindoni.
Matumizi makubwa na yasiyo ya lazima ya serikali kwa wakati huu yanaporomosha thamani ya shilingi, na hili halina mjadala.
Sasa mategemeo yangu ndugu Mnyika ni kuwa udhibiti wa matumizi ya serikali ni jambo la muhimu sana.
Tumeona juzijuzi Serikali ya Obama ilivyopata shida kubwa ilipobanwa na wawakilishi wa wananchi katika kubana matumizi ya serikali ya Marekani ,ILI KUPUNGUZA MFUMUKO WA BEI.
Mimi bado naamini kuwa Bunge linaweza kuibana Serikali katika hilila matmizi, ili thamani ya hela yetu iende na thamani yake halisi.
Pamoja na hili la kubana matumizi lazima twende sambamba na kuongeza uzalishaji na hasa wa chakula na usambazaji.
Kama nilivyosema huko nyuma kupanga bei ya bidhaa ambayo ni adimu matokeo yake ni kuuzwa kwa mwendo wa kuruka na bidhaa hiyo kuuzwa katika soko sambamba(black market).
Vichocheo vya uzalishaji mali kama umeme, tumevichezea, na matokeo yake tunayaona live.
Sina haja ya kuingia sana katika hili maana linaeleweka vyema kwa waTanzania walio wengi.
Kama nilivyotoa mfano wa refa, Serikali lazima ilaumiwe kwa kutochezesha vyema mchezo wa uzalishaji wa umeme nchini, hadi kudiriki nayo kuvaa jezi na kucheza uwanjani!!!
Matokeo ya kufungwa magoli ya uhakika ya kukosa umeme tunayaona.
Hapa wabunge wetu bado tunawategemea sana kuisahihisha serikali kufanya kazi yake-kuchochea uzalishaji mali.

Naomba kutoa hoja
 
Kuna watu wanalalamika kuwa Mnyika njoo Goba maji hamna, utadhani goba mfumuko wa bei ya ya vitu muhimu anaohangaika nao hauwahusu.
 
Nasikia shilingi inakaribia Tshs 2000 kwa dola moja.
Kwa nini hapa sheria isitungwe kudhibiti hili!
 
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei

Na Tamali Vullu

(Tanzania Daima 24th Oct 2011)


"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.

Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."


My Take:

Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.

Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.

Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.

Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.

Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.

Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.

Tatizo lenu huwa hamuwasomi watu na kujua akili zao. Mnyika ana level ndogo sana yakufikiri na hasa hasa haya mambo yakiuchumi hayajui kabisa, muhurumieni bure hajui atendalo wala alisemalo !
 
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei

Na Tamali Vullu

(Tanzania Daima 24th Oct 2011)


"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.

Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."


My Take:

Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.

Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.

Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.

Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.

Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.

Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.

Majoja
Nasikitika wewe ndo hukumwelewa mnyika na unaposema eti point yake siyakisomi basi yako ndokabisaa haina hatakichwa wala miguu
Unajidai msomi lakini sisi wachumi ndo tunakucheka wewe badala ya mnyika

Wawezaje kuongeza uzalishaji wasukari kwa wakati huu tunaokumbwa na mfumuko wabei?
Unasema hatuwezi kucontrol mbona imewezekana kwenye mafuta?

Nawasiwasi utakua umetumwa na hao magamba .

Nimpemnyika hongera kwa mawazo mazuri tunahitaji vijana wanaoweza kufikiri kama mnyika
 
Nimekua nikifutilia hoja za Mnyika kama kijana anayeleta matumaini ya siasa zenye tija hpa nchini. Kwa hili la mswada wa sheria wa ku-control bei ninamashaka sana na kurejea kwenye uchumi unashurutisha bei bila kusaidia uzalishaji. Mara niliposoma nia yake yakufikisha mswada huu, nilijua Mh. Mnyika anahoja yenye mtazamo wa kiuchumi wakisasa. Kuna namna nyingi ambazo serikali inaweza kudhibiti bei za bidhaa muhimu kwa wananchi hasa wenye kipato cha chini, kuliko kuwapangia wazalishaji bei, mmoja ikiwa kusaidia usambazaji, kutoa ruzuku, kuchagiza uzalishaji hasa katika vyama vya ushirika, kupunguza kodi ya wazalishaji wa ndani wenye kuzalisha bidhaa hizo, serikali kuhodhi bidhaa hizo zinapozalishwa kwa wingi na kuziuza ili ku-stabilize supply na prices wakati uhaba unapotokea. Ni imani yangu mswada wa Mh. Mnyika utaelekea kwenye mfumo huo, ili kuundwe tume ambayo itakuwa bunifu katika kuweka mikakati ya kuongeza upatikanaji wa bidhaa hizo kwa bei nzuri badala ya kutaka kuundwa kwa tume ya bei itakayokua inatoa bei elekezi kiimla kama ilivyo sasa kwa zisizotekelezeka. Chadema lazima tuwe rafiki wawazalishaji, wasambazaji na walaji ili kiujenga uchumi mzuri
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom