Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Mawazo mazuri tuyaweke pamoja ili tupate hoja yenye nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangu eeh?Excellent point!
ndio saa hizi unajua kuwa mnyika anaakili, na wewe ni zuzu tu!Unajua Mnyika sometimes una akili, tatizo ni hicho chama tu ulichopo.
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei
Na Tamali Vullu
(Tanzania Daima 24th Oct 2011)
"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.
Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."
My Take:
Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.
Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.
Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.
Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.
Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.
Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!
|
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!
|
Thanks Safari ni Safari, my memory is failing me it seems!Ndugu,
SCOPO stood for PRESIDENTIAL STANDING COMMITTEE FOR PARASTATAL ORGANISATIONS nadhani wewe ulimaanisha NPC yaani National Pricing Commission au Tume ya Bei KAMA ILIVYOZOELEKA.........MBONA NAULI ZA MABASI NA BEI ZA MAFUTA BADO ZINADHIBITIWA NA SERIKALI KWA SASA WHY NOT HIVYO VINGINE?......Nadhani nia ya Mnyika sio Mbaya..........kumbuka hawa wafanya biashara wa vitu muhimu ndio wafadhili wakuu wa CCM
Price control works only where there's evidence of "abuse" of fair competition practices in the market. Kenya's inflation is standing at 17.3%, Uganda 28% and Tanzania 16.3% (IMF, TODAY!).
My brother, don't try to introduce that bill, it won't work in Tanzania.
What we really need is to decrease our imports by increasing tarriffs on non-essential goods. As a shadow minister for Energy, I challenge you to come up with a bill that will DECREASE OUR ENERGY INTENSITY. We have the second highest energy intensity, after Uzbekstan! (which produces oil). We spend 2bn$ on oil, that's a lot compared to our 22bn$ GDP.
Our energy intensity is 783tonnes/1m $, while kenya has 462tonnes/1m$ almost twice as much. That means if we increase our efficiency (which is not rocket science) we can have the same GDP with half as much oil used, we can start by cutting it by at least one-third, and keep the much needed forex which will eventually stabilize the Shilling. If we can save 500m$ a year, even my grandpa in Ikwiriri will feel the pheew!!
Majoja,
Nashukuru sana kwa maoni yako. Natamani sana kama kuna mwanahabari ambaye alikuwepo kwenye mkutano wangu wa jana aeleze kwa kina zaidi niliyoyangumza jana. Suala la kupeleka muswada wa sheria ya udhibiti wa bei ya bidhaa muhimu ilikuwa ni moja tu ya orodha ndefu ya njia nilizozieleza ambazo Tanzania inapaswa kuzichukua kama sehemu ya hatua za dharura za kukabiliana na kupanda kwa gharama za maisha ambako kwa sehemu kubwa kumechangiwa na mfumuko wa bei na kuporomoka kwa sarafu ya Tanzania. Suala la kuongeza uzalishaji nililisisitiza na kutaka hatua za dharura kwa msukumo wa Rais na Bunge. Katika kuongeza uzalishaji wa ndani naamini katika kupanua fursa kwa wazalishaji wadogo na wa kati katika sekta za kilimo na viwanda kama jambo la haraka. Hapa tutashughulikia tatizo la kutokuwa na uwiano wa urari wa kibiashara (balance of payment) ambapo sasa taifa letu ni la wachuuzi badala ya wazalishaji; tunanunua kuliko tunachouza. Lakini nilikwenda mbele zaidi kwa kueleza kwamba kutokana na matatizo katika nchi za magharibi hasa athari za mdodoro wa uchumi duniani na sasa matatizo ya kifedha Eurozone na udhaifu wa utegemezi wetu toka nje; hali ya kifedha ya nchi ni mbaya kwa kuwa serikali haijafunga mkanda- bado kuna ubadhirifu, ufisadi na matumizi mengine ya anasa wakati hali ya mapato hairidhishi. Kwa vyovote vile hatua za dharura zinahitajika na nikatoa mwito kwa Rais Kikwete akutane na tume ya mipango na baadaye akutane kwa dharura na baraza la mawaziri kuweka msukumo wa haraka kwa kuwa tunapokwenda kama taifa hali itakuwa tete; mfumuko wa bei umefikia 16.8%, kubadili dola moja kwenda shilingi ni 1700. Ni maoni yangu kwamba hatuwezi kuamini Wizara ya Fedha na Benki Kuu pekee katika kushughulikia hali hii; tunapaswa kuunganisha nguvu ya wadau wetu wote: wataalamu, sekta binafsi nk. Uongozi Mkuu wa nchi unapaswa kutoa msukumo unaohitajika kufikia azma hii. Naelewa kwamba gharama za vyakula na nishati zinamchango mkubwa sana katika mfumuko wa bei. Hata hivyo, ieleweke kwamba matatizo yetu ya chakula ni zaidi ya uzalishaji na ukame; tuna tatizo pia la usambazaji. kwa kuwa hivi sasa wakati ambapo kuna maeneo yana njaa na maeneo yenye chakula cha bei juu; kuna maeneo ya nchi yetu chakula kinaoza au kinauzwa bei chee. Ushahidi wa kwamba kuwa tuna matatizo ya kimfumo na kiuongozi ni kuwa hata chakula kutoka hifadhi ya taifa ambacho kilitolewa kwa maelezo kuwa kinakwenda kupunguza bei kwa gharama yako na yangu lengo husika halijafikiwa; bei bado iko juu na sehemu ya chakula hicho kinatoroshwa na kuuzwa kinyemela nje ya nchi. Matamko ya viongozi pekee ya kwamba bei ya sukari na sembe iwe kwa kiwango kilichotangazwa hayajasaidia. Walau kukiwa na sheria, tutapata nguvu nyingine ya kuwabana badala ya kutegemea kauli zao za kisiasa pekee. Tunaona kwamba pamoja na udhaifu wa EWURA katika upangaji wa bei elekezi na pia serikali kushindwa kupunguza kodi kwa kiwango tulichopendekeza bungeni na kuweka mifumo mizuri zaidi ya haraka ya uagizaji wa mafuta; bado walau bei elekezi inayotolewa inafuatwa kwa kuwa hatua hizo zinafanyika kwa misingi ya sheria sio kauli tu za kisiasa za viongozi. Hivyo; pamoja na taasisi zetu za fedha kuchukua hatua za kisera kudhibiti mfumuko wa bei na kuporomoka kwa shilingi; pamoja na hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa na Rais, Bunge na vyombo vingine za kimfumo na kitaasisi za kuboresha uzalishaji na usambazaji hususani wa vyakula na nishati (umeme, gesi asilia), tunahitaji pia kuweka mifumo ya kisheria. Mimi ni muumini wa mrengo wa kati, naamani katika soko la kijamii- yaani uchumi mchanganyiko; kwa kuweka pamoja misingi ya dola kuhusika katika uchumi (ambayo hutumiwa zaidi katika ujamaa) na uhuru wa soko (ambao hutumiwa zaidi katika mifumo ya kiliberali na kibepari). Hata hivyo, nasikitika kwamba nchi yetu haifuati ujamaa wala soko huria; ni nchi yenye mfumo wa soko holela. Wakati nikitoa mwito kwa Rais na Bunge kuzisimamia taasisi nyingine na kuongoza sekta binafsi na umma kunusuru hali ya mambo kwenye uzalishaji na usambazaji ili kupunguza mfumuko wa bei na kuporomoka kwa shilingi yetu; napenda pia pawepo na nguvu za kisheria hususani katika bidhaa chache na muhimu; Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo; hata baadhi ya nchi zenye kuamini katika soko huria, serikali na dola huingilia kati pale soko linaposhindwa au pale ambapo kuna ulazima wa kulinda maslahi ya umma. Ugumu wa maisha unaochangiwa na kupanda kwa bei na gharama ni tishio kwa uchumi na usalama wa nchi na wananchi ni suala ambalo tunahitaji kuunganisha nguvu kulishughulikia; tusipoziba ufa tutajenga ukuta. Na kwa kweli ni kati ya mambo ambayo wananchi wa jimbo la Ubungo wamenituma niwawakilishe, nilihoji suala hili kwenye mikutano ya hadhara, na nimepata ridhaa yao. Tuendelee kujadiliana kupata maoni zaidi
JJ
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei
Na Tamali Vullu
(Tanzania Daima 24th Oct 2011)
"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.
Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."
My Take:
Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.
Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.
Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.
Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.
Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.
Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.
Mnyika azidi kucharukia mfumuko wa bei
Na Tamali Vullu
(Tanzania Daima 24th Oct 2011)
"Kutokana na kukithiri kwa mfumuko wa bei za bidhaaa mabali mbali mchini. Mbunge wa Ubungo John Mnyika,anakusudia kuwasilisha muswada binafsi Bungeni ili Serikali itunge sgeria ya kudhibiti bei za bidhaa muhimu.
Akizungumza na waandishi wa hahari jijini Dar es salaam, Mnyika alisema kutokana na mfumuka wa bei za bidhaa muhimi, hali ya maisha ya Watanzania imezidi kuwa ngumu kila kukicha.
Alisema hali hiyo ikiachwa hivi hivi ni hatari kwa uchumi wa nchi na kwamba Taifa linaweza kuingia katika machafuko makubwa."
My Take:
Mtazamo wa utatuzi wa mfumuko wa bei nchini nasikitika kucomment kuwa si wa kisomi sana na nilitegemea fikra zaidi kutoka kwa Mh. mnyika juu ya hili.Nakubaliana na Mnyika as far as the EFFECTS za mfumiko wa bei na si zaidi ya hapo.
Si jambo linaloeleweka kuwekea sheria mfumuko wa bei-to the layman yes.
Tulikubali wenyewe zaidi ya miaka ishirini na tano iliyopita juu ya kutumia nguvu ya soko katika kuendesha uchumi.Sijui ni wangapi wanaoikumbuka SCOPO ya Ndg Wilfred Mwabulambo.
Ilifanya kazi tu katika misingi ya ujamaa na controlled economy. Leo tukipanga aei za vitu muhimu wakati uzalishaji hakuna hilo halieleweki wala si sustainable. Nilitegemea Mh Mnyika akazanie UZALISHAJI mali wa bidhaa hizo kwa nguvu zote na kwa tija ili bei ziweze kushuka.
Leo ukipangia bei ya sukari kuwa Tshs 1,900 wakati demand yake inadictate at Tshs 2,500 ni kujidanganya.
Bidhaa inakuwa muhimu kwako pale tu unapoweza kumudu kuinunua, bidhaa hiyo ikiwa nje ya uwezo wako ina-cease kuwa na umuhimu kwako.
Wabunge wetu vijana nawashauri msome sana hizi economical dynamics ili muweze kutumika vizuri katika vyombo mnavyo wawakilisha wananchi.
Kikubwa zaidi ni serikali yenyewe kubana matumizi yake ili matumizi yalingane na kipato chake. Kinachoelekea kuwa kimetokea (mfumuko wa bei)ni kuwa Serikali inaendelea kuchapisha fedha zisizo na backing ya uzalishaji, hivyo more money chasing the few commodities at large.Serikali ikiendelea na msimamo huu tuatuwa na pesa nyingi sana kwenye mzunguko wa biashara, fedha ambazo si halali kuwepo.
Nina uhakika economists waliobobea wana cheka juu ya hii suggestion ya Mh Mnyika kwa vile haitekelezeki.