Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Nimekuwa nikijiuliza sana Mhe. Malla alikuwa na maana gani alipofananisha mgogoro wa Madiwani na mtoto wa shule aliyerudi nyumbani na mimba kwamba mzazi hawezi kumfukuza. Anataka kutuambia yeye na Madiwani wenzake baada ya kutembea na CCM na kupata hiyo mimba isiyotarajiwa sasa anataka kuilazimisha Chadema ikubali tu pasipo kuulizia kulikoni au ilikuwakuwaje hiyo mimba ikapatikana matunzo yake yakoje nk. Hata kama ningekuwa mimi ndiye baba Chadema nisingekubali. Ebo!!!!!