muwaha
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 740
- 148
Duuuuuuu! kwa hii "unlike"karudi kufanyanini? Roho ingebaki hukohuko urudi mwili tu,
Duuuuuuu! kwa hii "unlike"karudi kufanyanini? Roho ingebaki hukohuko urudi mwili tu,
yuko tayari kwa kazi ipi? Kama ni ya wizi sawa. Mimi ni mwiongoni mwa watu ambao sijawahi kumwombea kwa neema ya mungu amerudi salama ila naomba jambo moja mungu amshugulikie talatibu mpaka mwisho wa uhai wake na kama kweli ni muwazi aseme magonjwa yake yote ili wanaomwombea waombe wakijuwa mgojwa wao anaumwa nini.
Daima alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani.
Makonda kabla Lowasa hajatutajia Ugonjwa Wake tutajie Ugonjwa Wa Baba yako Sita Anae Vuja Jasho ktk Viyoyozi na Ambae anaishi kwa kupulizia Upepo Maalum Puani na kuvuja Jasho Miguuni Mpaka kushindwa kuvaa Viatu
Ukitutajia huo Ugonjwa na Lowasa atatutajia wakwake Pia ule Ugonjwa wako Wa Kuanguka na kutokwa na Mkojo
Lowassa ni TUNU TULIYOPEWA NA MWENYEZI MUNGU atukomboe WATZ.
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maaskofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.
Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.
Mungu akubariki lowassa..
Haya waongo kanusheni sasa
Mkuu on my dead body! Si mmesema mgonjwa??? atafika kweli!? nauliza tu banduguMtaomba sana ila 2015 mnaye huyo mtake msitake!
kumbe huyu fisadi namba moja ana mashushushu huku jamvini kazi kweli kweli
Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kumpigania Lowassa apone haraka ili awe Kagame wetu 2015.Tulisema yupo Ujerumani kwa matibabu, na ametoka ujerumani kwa matibabu uongo uko wapi?
Mimi simo ktk hili ulilotoa povu.CDM, mbona Lowassa anawaumiza kichwa sana? Kumbukeni Lowasa ni mbunge tu...but mnahaha!