naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Uwoga au udhaifu wa kiutendaji wa mh JK ndo chanzo cha migogoro isiyoisha ndani ya chama,kwa nafasi yake ndani ya chama kama mwenyekiti alipaswa kuwaunganisha wana ccm wote kuwa kitu kimoja,badala yake kasabisha mifarakano kwa kutumia vijana wachanga kwenye siasa kama kina Nape kuendelea kukiua chama,wito wangu ni kuwa mh Rais atambue thamana aliyopewa na watz ni kubwa,na wala si ya kuchezea,aache uwoga akemee haya,vinginevyo tabia ya kuwa bubu na kufumba macho baadhi ya issue za msingi,ndo utamng'oa madarakani kabla ya mda wake...
Nawasilisha
Nawasilisha