What a waste!!!KANUSHO.
Nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mwigulu Nchemba (Mb-CCM) Anatangaza kuwa Chama changu kimenitupa na hakina msaada wala Ushirikiano na mimi kwenye Matatizo yaliyojitokeza..
Kwanza: Sijawahi kumwajiri Mwigulu Nchemba kuwa msemaji wangu!.
Pili: Mwigulu Nchemba si mkweli na hajui chochote kuhusu mimi wala CHADEMA.
Tatu: Mwigulu Nchemba anataka nionekane sina shukrani kwa viongozi na Chama changu kwa Umoja na Ushirikiano wanaoendelea kunipatia hata sasa.
Nne: Viongozi wangu wanafuatilia kwa karibu sana matibabu yangu na Mke wangu.
Ni vyombo gani vya habari vimeandika hayo masuala?, jamani kila mtu anajua kwamba vyombo vingi vya habari ni magumashi, una uhakika gani kama ni Mwigulu Nchemba ameyasema hayo?. Unaweza kuyaleta hayo maandishi hapa jamvini?. This is too low kwa Mbunge kukurupuka na kuleta vioja kama hivi.
Kama hili andiko ni la mbunge, basi tuna safari ndefu sana.
hakatizi anagechwa kwa spidi kali!Endelea kufafanua zaidi, vp ameisha pitia pitia maeneo ya home nn?
Usiwe unakurupuka kupost bila uelewa wa unachoandika! Haya maneno Mwingulu ameyatamka bungeni,hata mimi niliona ktk TBC1. Kwa ushahidi zaidi tafuta Hansard ya Bunge!KANUSHO.
Nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mwigulu Nchemba (Mb-CCM) Anatangaza kuwa Chama changu kimenitupa na hakina msaada wala Ushirikiano na mimi kwenye Matatizo yaliyojitokeza..
Kwanza: Sijawahi kumwajiri Mwigulu Nchemba kuwa msemaji wangu!.
Pili: Mwigulu Nchemba si mkweli na hajui chochote kuhusu mimi wala CHADEMA.
Tatu: Mwigulu Nchemba anataka nionekane sina shukrani kwa viongozi na Chama changu kwa Umoja na Ushirikiano wanaoendelea kunipatia hata sasa.
Nne: Viongozi wangu wanafuatilia kwa karibu sana matibabu yangu na Mke wangu.
Ni vyombo gani vya habari vimeandika hayo masuala?, jamani kila mtu anajua kwamba vyombo vingi vya habari ni magumashi, una uhakika gani kama ni Mwigulu Nchemba ameyasema hayo?. Unaweza kuyaleta hayo maandishi hapa jamvini?. This is too low kwa Mbunge kukurupuka na kuleta vioja kama hivi.
KANUSHO.
Nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mwigulu Nchemba (Mb-CCM) Anatangaza kuwa Chama changu kimenitupa na hakina msaada wala Ushirikiano na mimi kwenye Matatizo yaliyojitokeza..
Kwanza: Sijawahi kumwajiri Mwigulu Nchemba kuwa msemaji wangu!.
Pili: Mwigulu Nchemba si mkweli na hajui chochote kuhusu mimi wala CHADEMA.
Tatu: Mwigulu Nchemba anataka nionekane sina shukrani kwa viongozi na Chama changu kwa Umoja na Ushirikiano wanaoendelea kunipatia hata sasa.
Nne: Viongozi wangu wanafuatilia kwa karibu sana matibabu yangu na Mke wangu.
Ni vyombo gani vya habari vimeandika hayo masuala?, jamani kila mtu anajua kwamba vyombo vingi vya habari ni magumashi, una uhakika gani kama ni Mwigulu Nchemba ameyasema hayo?. Unaweza kuyaleta hayo maandishi hapa jamvini?. This is too low kwa Mbunge kukurupuka na kuleta vioja kama hivi.
Usiwe unakurupuka kupost bila uelewa wa unachoandika! Haya maneno Mwingulu ameyatamka bungeni,hata mimi niliona ktk TBC1. Kwa ushahidi zaidi tafuta Hansard ya Bunge!
Selasini anatoa shukrani kwa kubagua kisiasa. Hapa ametaja wooote wa CDM, sikuona hata mmoja wa CCM. Mbona CCM wengi tu walimtembelea na kumpa pole akiwemo Waziri Mkuu Pinda. Shukrani ni kwa magwanda wenzake tu?
Ugua Pole Mheshimiwa Selasini.