Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Lakini nafikiri Kikwete ndiye rais anayeongoza kwa kudanganywa na watendaji wake, kuanzia serikalini mpaka kichama!
Zamani nilikuwa naamini hivyo, lakini sasa nimegundua, mwenyewe ndiye mdanganyaji, na kwa ajili hii wanamwambia kila anachotaka kusikia