Mhe. Golden Mpoleee (Mb.)

sante mjumbe. maeneo yenu yapo wap? niksema serkali tutaleta mabomba ya maj safi nitakua naongopa mfuko wa hio sekta umefisadiwa tayari. kwa kutumia uzuri wangu nitaongea na mtoto wa mfalme wa Oman aweze fadhili hapo. mnipe miez mi3 hio ndoto itakua halisia.

ntaendelea kusubiri Mhe. GM.....
 
Back
Top Bottom