Golden Mpoleeee
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 572
- 206
Unataka nikuonyeshe msimamo gani tena? Huoni mimi naenda direct kwenye point? siyo kama akina Mphamvu wanazunguuka!!!
akija smile unatetema.
Unataka nikuonyeshe msimamo gani tena? Huoni mimi naenda direct kwenye point? siyo kama akina Mphamvu wanazunguuka!!!
kusugua mgongo hata Ashraf Mpemba wa Ilala Bungoni anaiweza hiyo kazi.
Usichubue mikono mizuri ya GM kwa sugu zako za mgongoni.
Sawasawa?
Bebi kwa majibu sikuwe zi,ok twende basi ukanisuguwe mgongo mtoto wa mwanamke mwenzio,Mx
funguka kama umempenda usione haya.
tunachunguliana bebi,Mxuko huru kuchunguliwa baby?
Wewe hapo t@ko,Mxwivu kwa GM au Ashraf Mpemba?
nop mamie its not always about intimacy kuna "like" za kawaida.... Halafu mwambie huyo mphamvu sijui.. apunguze mzuka!
tunachunguliana bebi,Mx
Basi wote 2takuwa kama tulivyokuja duniani bebi,Mxwanaochungulia ni watoto baby. mm ckubali.
wanaochungulia ni watoto baby. mm ckubali.
Basi wote 2takuwa kama tulivyokuja duniani bebi,Mx
sante mjumbe. maeneo yenu yapo wap? niksema serkali tutaleta mabomba ya maj safi nitakua naongopa mfuko wa hio sekta umefisadiwa tayari. kwa kutumia uzuri wangu nitaongea na mtoto wa mfalme wa Oman aweze fadhili hapo. mnipe miez mi3 hio ndoto itakua halisia.
hakuna like tu kwa me na ke.