Golden Mpoleeee
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 572
- 206
Tena mwambie wivu ni kidonda na akishiriki atakonda mpaka afe!huna lolote!
Wivu tu unakusumbua....
salama mwaya. kuna matatizo yyote nikawakilishe bungen?
Nakuchawia? Kwamba huwezikuwa pacha wake GM au?
POPOOOOO! anapita.
ww nawe hunaga msimamo ar u sure wanitaka?
Unataka nikuonyeshe msimamo gani tena? Huoni mimi naenda direct kwenye point? siyo kama akina Mphamvu wanazunguuka!!!rejao c mchawi ila hana msimamo.
Zanzibar.hahahaha..anaelekea wapi?
Unataka nikuonyeshe msimamo gani tena? Huoni mimi naenda direct kwenye point? siyo kama akina Mphamvu wanazunguuka!!!
Bebi kwa majibu sikuwe zi,ok twende basi ukanisuguwe mgongo mtoto wa mwanamke mwenzio,Mxnikusindikize kuoga baby? ungesema tuokaoge wote labda bt kukusindikiza ww hujui bafu iliko?
Kama limemchoma na yeye aende kwa Rejao manake anatanga tanga hana mwenyewe!anaona GM atafaidi sana akitoka na msela mwenye rasta rasta.
Wanawake bwana...
huna lolote!
Wivu tu unakusumbua....
moja, hongera sana mkuu GM kwa kuamua kuingia kwenye siasa.
pili, mueshimiwa huku kwetu maji sasa yamekuwa ni ndoto sijui utatusaidiaje? ni hilo tu MP GM..
ni hayo tu..
Sasa GM wamwacha na nani?Nitarudi tena jamani,
kwa sasa naelekea Libreville, kwenye AFCON.
Bye bye till then!
i need beer, very cold beer. i wish u were a beer