Elections 2010 Mhe Dr Slaa ya Zanzibar 1995 kutokea Tanganyika 2010

Nakubaliana na wewe mia kwa mia kujua wajue then nchi iendelee, hivi unadhani dunia haijui kama Maalim Seif na safari hii kaibiwa? wanajua ila amewaonea imani wananchi wa Zanzibar angekataa wangeteseka na ugumu wa maisha ilhali yeye anaponda raha na kubadilisha mboga. Tafakarini jamani maana hawa wanasiasa sometimes wanataka kututmia kama ngazi.

My take.

Slaa kubali kwa grounds kuwa NEC ni yao na ndio maana ameshinda INFACT Slaa atakuwa wa ajabu sana akiamini kuwa kwa tume iliyokuwepo ingemtangaza yeye mshindi na hapo ndio ninapo pata wasiwasi uelewa wa viongozi wetu sijui ni kweli wana nia ya dhati kututumika au laa.

sasa hapo umeongea nini? kama hata wewe unajua kwamba nec haikutenda haki halafu unakuja kumhamasisha Dr. Slaa asitafute haki yake, unataka tukueleweje? halafu ni wapi Dr. Slaa ametangaza kuingia msituni ama kuleta machafuko? unajua wakati mwingine hizi propaganda mnazotangaza kila kukicha zinawatisha sana wananchi na hata kushindwa kutafakari vizuri mapungufu ya nec yako wapi na kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu. Kila mara mnalialia tuuu, Dr. Slaa, Dr. Slaa, yani mnamuwekea maneno mdomoni. Tumsubiri, ameshasema kwamba kesho atatoa tamko sasa tusianze kuwa ma-sheikh yahya hapa JF.
 
Msianze kutubembeleza saa hizi!
This is just the dawn of situation!...kwani hamkujua what could be the end results za kufanya ridging?
Tusipoumia kidogo kama taifa tutaendelea kufanya makosa coming 2015.
Nitafurahi sana tukipitia kwenye wakati mgumu!
Slaa, wembe ni uleule, tuko nyuma yako sana!

Oya hakuna anaembembeleza mtu hapa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake mimi nina kipato namshukuru Mungu ila nawaonea huruma wenye hali ya chini wanaotegemea misaada.
 
... kama nia ni ya kutumikia wananchi basi hatuna budi kukaa na kupanga mikakati ....

mkuu, unakaa kupanga na nani ilhali tayari wenyewe wamekwisha maliza kazi? hebu jaribu pia kutoa mwelekeo sahihi wa nini kifanyike badala ya kujikita kushawishi watu kwamba kuna jambo la hatari sana linataka kutokea.
 
sasa hapo umeongea nini? kama hata wewe unajua kwamba nec haikutenda haki halafu unakuja kumhamasisha Dr. Slaa asitafute haki yake, unataka tukueleweje? halafu ni wapi Dr. Slaa ametangaza kuingia msituni ama kuleta machafuko? unajua wakati mwingine hizi propaganda mnazotangaza kila kukicha zinawatisha sana wananchi na hata kushindwa kutafakari vizuri mapungufu ya nec yako wapi na kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu. Kila mara mnalialia tuuu, Dr. Slaa, Dr. Slaa, yani mnamuwekea maneno mdomoni. Tumsubiri, ameshasema kwamba kesho atatoa tamko sasa tusianze kuwa ma-sheikh yahya hapa JF.

Kwahiyo wewe unataka uingingie msituni halafu bwanamkubwa aende ng'ambo? au unataka ashikilie hivyohivyo nchi inyimwe mikopo na misaada itakayoinua wananchi? ilhali yeye anakula ruzuku inayopewa chama chake na serikali? hivi sisi tuna akili kweli?
 
Kwahiyo wewe unataka uingingie msituni halafu bwanamkubwa aende ng'ambo? au unataka ashikilie hivyohivyo nchi inyimwe mikopo na misaada itakayoinua wananchi? ilhali yeye anakula ruzuku inayopewa chama chake na serikali? hivi sisi tuna akili kweli?

Rudi kasome vizuri post yangu, usikurupuke tu kunijibu kwa sake ya kujibu. Nimekuuliza ni wapi Dr. Slaa ametishia kwenda msituni ama kuleta machafuko, au ndio mmeamua kumuwekea maneno mdomoni? Assuming kwamba kutakuwa na vita kama unavyotaka tuamini, hiyo ruzuku unayoisema ataipata wai wakati nchi iko vitani? hebu fungua akili yako kidogo, usiwe kama jina lako.
 
Back
Top Bottom