Mheshimiwa huyu mwenye asili ya kisomali akichangia hoja ya ofisi ya waziri mkuu jioni hii amesikika akisema chama cha mapinduzi ni chama dume, chama dume kwa lipi? Chama dime kwa:-
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.
1.Kumpitisha yeye agombee ubunge licha ya kuwahi kufukuzwa kazi na Mzee Nyerere katika mamlaka ya usitawishaji makao mkuu CDA kwa tuhuma ya ubazidhilifu hivyo kukosa kabisa sifa za kuwa kiongozi.
2. Ni chama dume kwa kumpitisha yeye kuwa mbunge licha ya kufungwa kwa makosa ya wizi akiwa katibu mkuu wa wa FAT japokuwa alishinda kwa rufaa kwa hiyo chama dume kisingeweza kabisa kukubali awe kiongozi .
Chama cha mapinduzi kilikuwa dume wakati wa Mzee Nyerere na Sokoine maana nakumbuka wakati akiwa Mbunge Mzee Mtaki aliwahi kumwuliza Maziri Mkuu Sokoine kwamba yeye aliwahi kuwa mhanga wa azimio la Arusha lakini sasa Kesha jirekebisha kwa nini asigombee ujumbe wa Halimashauri kuu? Mzee Sokoine alimjibu kwa nini achaguliwe yeye aliyejilekebisha wakati kuna watu hawana makosa kabisa?
Sasa huyu Rage kaita CCM ni dume kwa lipi? Kama kingekuwa dume kamwe kisingempitisha kugombea ubunge mtu mwenye tuhuma kibao wakati kuna wanyamwezi really ambao hawana tuhuma zozote za wizi.
Kauri yake imenichefua kweli kweli anajivunia ujinga wa wanyamwezi, siku wanyamwezi wakiamka ajitayarishe kwenda kugombea ubunge Mogadishu.