Mhashamu Methodius Kilaini ahamishiwa Jimbo la Bukoba

Ungekuwa utawala wa kidunia, palikuwapo na haja kwetu kujadili na kusema kwa kadri ya utashi wetu, tungekuwa na haki ya kusema kwa namna tunavyoweza na pengine kama pangekuwepo na sababu ya kupinga kwa maandamano, tungefanya hivyo. Hii ni IMANI, tuliachie kanisa ligawe BARAKA na kuwapa watu wake wigo mpana wa kushiriki neema kwa kadri ya ufunuo wanaojaliwa.
 
Bora kuwa mwanachama wa CUF au Chadema!!! this is free msn organisation, leaded by mafia, old white people with no relgon subst. to hell
Bull acha maneno ya ajabu, kama kila mtu humu ataanza kashfa ya dini nyingine then hili jamvi litakuwa halina maana. Ishu hapa ni kuhamishwa kwa Askofu kilaini, je kuna uhusiano wa kisiasa??
 
Nasikia tetesi kuwa huyo askofu Severini na padri Karugendo walikuwa na tabia ya kugombea wasichana tangu walipokuwa seminari Segerea, na mara zote Karugendo alikuwa anampiku mwenzie. Walipoenda kufanya kazi huko Ngara, mambo yakawa hayohayo. Severini alipoteuliwa kuwa askofu ndio ikawa 'kichaa kapewa rungu', akaamua kulipiza yote kwa kumtimua Karugendo kwenye upadri.

Such narro mindedness!
 
Sikuzote nitaheshimu dini za watu wote, ninachoongelea hapa ni, political organisation, leaded by few old white people. hii ni chama inayoongozwa kutumia jina la dini.

Of course, if you are happy and fulfilled to think that the Church is a disguised political party, then, go ahead. You're free to think positively or negatively about something. However, your thinking cannot make the Church be what you want it to be or you think it is!
 
Wakatoliki nawavulia kofia kwa unpredictability yao. Kuna padri namfahamu alikuwa mwalimu kule Catholic University of Eastern Africa, Nairobi, kipindi hicho ana masters tu. Akapelekwa Rome kufanya PhD, nikajua huyu akirudi atapewa uprofesa kabisa. Nilishangaa mno. Aliporudi alipelekwa eneo fulani la mashenzini kabisa vijijini ndani Karatu huko, eti akaanzishe kigango kipya (wala siyo paroko angalao!). Hawaeleweki hawa jamaa!

Kwa hiyo, ulitaka nani ndiye achaguliwe kwenda 'mashenzini?' Mapadre wote wanapewa 'basic training' (falsafa & teolojia) na wanakuwa sawa. Kuongezea elimu hakumfanyi padre au askofu fulani awe juu ya wengine.

Kwenye 'religious congregations' (mashirika ya kitume) - wote 'members' na 'major superiors' wao ni sawa. Kitu kibaya ni kwamba watu wasio na uelewa wa kutosha kuhusu mfumo wa utawala ndani ya Kanisa wanaanza kuchangia kabla hawajafanya 'homework' ya kujua mfumo wenyewe ukoje!
 
Kwa hiyo, ulitaka nani ndiye achaguliwe kwenda 'mashenzini?' Mapadre wote wanapewa 'basic training' (falsafa & teolojia) na wanakuwa sawa. Kuongezea elimu hakumfanyi padre au askofu fulani awe juu ya wengine.
Kwenye 'religious congregations' (mashirika ya kitume) - wote 'members' na 'major superiors' wao ni sawa. Kitu kibaya ni kwamba watu wasio na uelewa wa kutosha kuhusu mfumo wa utawala ndani ya Kanisa wanaanza kuchangia kabla hawajafanya 'homework' ya kujua mfumo wenyewe ukoje!


Askofu Juda Thadaeus Ruwa'ichi ni askofu wa Dodoma. Ndiye rais wa Baraza la Maaskofu wote nchini. Lakini pia huyu ni member wa Congregation inayoitwa Order of Friars Minor Capuchin au O.F.M. Cap.

Mkuu wa hii congregation yaani superior ni Padri Mauro Johrigeneral siyo askofu. Labda nitoe mfano wa masista ndipo ndugu zetuwa dini zingine waelewe.

Mkuu wa masista naye uitwa vilevile na kama yuko karibu huitwa "Mama mkubwa".

Hivyo kwenye hii O.F.M. Cap. Padri Johrigeneral ndiye mkuu wa shirika ambalo askofu Juda Thadaeus ni mwanashirika kama wengine na aliapa kumtii mkuu yule kama wenzake.

Unaona hiyo ilivyo kali. Mkuu wa shirik ni padri, wewe ni askofu. mambo ya ukatoliki ukiyaparamia bila kuchimbuka utaumbuka kama Kingunge alivyouparamia waraka bila kuchimbuka akajikuta anaropoka kwamba waraka ni mara ya kwanza kutoka wakati nyaraka zina karne zinatoka.
 
kanisa katoliki halitaki padre au askofu kukaa muda mrefu mahali pamoja ili asije kuzoeleka kama mtu wa kawaida isipokuwa inatakiwa waumini wanapata ladha tofautitofauti kila baada ya muda fulani...........
enendeni ulimwneguni kote mkahubiri habari njema kwa kila mtu....................kilaini anatimiza maandiko matakatifu...........
 
Sasa anajiandaa kuwa Askofu mkuu jimbo la Bukoba. Kwani askofu wa kule ana muda mfupi sana kustaafu.

Hongera sana KILAINI, Uaskofu ni wako tu kule Bukoba kuwa na Subra.

hadi leo hii msaidizi teh teh
 
Back
Top Bottom