Pole sana Kichwamaji unataka kubishana na jiwe ? Haya endelea watu wako kazini .Wanataka Ushahidi kama ule Mkapa alitaka katika mkutano wa hadhara Singida juu ya mwekezaji wa barabara hahaha . Ushahidi , ushahidi, source nk ujinga mtupu .
Ukitaka la Zitto na Mbatia kifo chake utapewa a clear picture na bado utaomba ushahidi . Ndiyo mlengwa alikuwa Zitto kuna hata recorded voices Zitto anaulizwa na Waziri mmoja yuko maeneo gani kitu ambacho hakipo maana hawana mawasiliano ya akaribu ila alijua kwamba Zitto anaenda Songea .In like 3 minutes ajali ikatoea huyo waziri hakuwa na la kumuuliz Zitto zaidi ya kusema uko wapi .Akapewa jibu la uongo niko Njombe mjini.
Huu by itself ni ushahidi tosha bora watawale hao CCM mpaka tutakapo kuwa tayari. Kama ndio "kuthink faster" kwenyewe ndio huku, Im more than happy to remain "slow thinker" or not a "thinker at all"