William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mwandishi wa habari, tena wa kujitegemea na sio wa serikali au wa rais, amemwagiwa acid na mwingine kupigwa mapanga rais wa jamhuri ameacha shughuli zote za taifa na kwenda kuwaona waandishi hospitalini, na kuamuru mmoja apelekwe nje kutibiwa kwa gharama za serikali,
Yaaani rais ameshindwa kumtuma katibu wake, au makamu wake, hata Waziri Mkuu? Why yeye rais had to go there? Pale kitandani aliongea naye nini mgonjwa? Ishu ngumu ya taifa ya madini imemchukua karibu miezi sita kuunda tume, huku wa-Tanzania wote tukiona madini yetu yanaliwa na mikataba ya Buzwagi, hii haikuwa tatizo kwa rais akaendelea kusafiri tu nje! Lakini hii ya tindikali akakimbia mbio hospitali na kuacha kila kitu! kulikoni? WHY?
Muungwana, wakati umefika sasa wa kuhesabiwa, kuanzia wewe na sisi wote wananchi, kuna viongozi wanatakiwa kuondolewa now, I mean sasa! Viongozi wasioweza kazi waondolewe sasa maana sasa wakianza mambo ya tindikali, na sisi wananchi tutawamwagia pia tena mpaka michanga kwenye mikutano kama tulivyowazomea, yaani watuibie halafu waanze kutumwagia tindikali? Hakuna siri katika maisha, wewe unajua waliofanya hiki kitendo kiovu na kwenda kwako hospitali ndio kabisaa kunaleta mashaka makubwa kwa jamii na mimi ningekuwa ni wewe ningeondoa washauri wanaokushauri kukimbia hospitali, badala ya kubaki ofisini kupambana na waliowatuma kwenda kuwamwagia wananchi wawili tindikali,
wewe kaa chini and look at this, kwanza Richmond, Radar, Buzwagi, Ndege ya rais, mafisadi, na sasa tindikali, what is next? Kitendo cha wewe rais wa jamhuri kwenda hospitali ni kuwapa ushindi waliohusika kwamba mpaka wewe rais wa jamhuri umeogopa, sasa kaa ofisini waondoe, sio lazima tuwataje kwanza! Waondoe sasa maana wananchi tumechoka na kuacha shughuli za maendeleo na kubaki kila siku kuwinda mafisadi!
Yaaani rais ameshindwa kumtuma katibu wake, au makamu wake, hata Waziri Mkuu? Why yeye rais had to go there? Pale kitandani aliongea naye nini mgonjwa? Ishu ngumu ya taifa ya madini imemchukua karibu miezi sita kuunda tume, huku wa-Tanzania wote tukiona madini yetu yanaliwa na mikataba ya Buzwagi, hii haikuwa tatizo kwa rais akaendelea kusafiri tu nje! Lakini hii ya tindikali akakimbia mbio hospitali na kuacha kila kitu! kulikoni? WHY?
Muungwana, wakati umefika sasa wa kuhesabiwa, kuanzia wewe na sisi wote wananchi, kuna viongozi wanatakiwa kuondolewa now, I mean sasa! Viongozi wasioweza kazi waondolewe sasa maana sasa wakianza mambo ya tindikali, na sisi wananchi tutawamwagia pia tena mpaka michanga kwenye mikutano kama tulivyowazomea, yaani watuibie halafu waanze kutumwagia tindikali? Hakuna siri katika maisha, wewe unajua waliofanya hiki kitendo kiovu na kwenda kwako hospitali ndio kabisaa kunaleta mashaka makubwa kwa jamii na mimi ningekuwa ni wewe ningeondoa washauri wanaokushauri kukimbia hospitali, badala ya kubaki ofisini kupambana na waliowatuma kwenda kuwamwagia wananchi wawili tindikali,
wewe kaa chini and look at this, kwanza Richmond, Radar, Buzwagi, Ndege ya rais, mafisadi, na sasa tindikali, what is next? Kitendo cha wewe rais wa jamhuri kwenda hospitali ni kuwapa ushindi waliohusika kwamba mpaka wewe rais wa jamhuri umeogopa, sasa kaa ofisini waondoe, sio lazima tuwataje kwanza! Waondoe sasa maana wananchi tumechoka na kuacha shughuli za maendeleo na kubaki kila siku kuwinda mafisadi!