TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
wewe acha hizo angalia hapo kwenye red usituletee habari za kusikia!!!
sorry kama nimekosea... je kuna wengine ni sawa kujadili wengine hapana??
vipi mkuu, inauma?
wewe acha hizo angalia hapo kwenye red usituletee habari za kusikia!!!
Rest in PIECE Willy!
Tutakukumbuka kwa majungu na unafiki wako dhidi ya upinzani. Wasalimie magamba waliotangulia, waambie wenzao wengi tu watawafuata 2015 kwa pressure za kuogopa gereza
Las Mas Bobos
Rest in PIECE Willy!
Tutakukumbuka kwa majungu na unafiki wako dhidi ya upinzani. Wasalimie magamba waliotangulia, waambie wenzao wengi tu watawafuata 2015 kwa pressure za kuogopa gereza
Las Mas Bobos
yamekuwa hayo?!
Pitia hii link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...huu-wa-gazeti-la-jambo-leo-ni-mpaka-lini.html ufahamu kwanini LasMasBobos kaandika hivyo.
mmmhh!
Mshahara wa dhambi ni mauti uliwatumikia na kuwatetea mafisadi kwa manufaa yako binafsi na ukiwaacha watanzania wenzako wakiishi maisha magumu wamama wakizalia sakafuni vitu vikipanda bei wanafunzi wakikosa mikopo yote hii ni kutokana na hao mafisadi ambao ulikuwa ukiwatetea kupitia hiko kijijalada chako cha jambo leo,kweli malipo ni hapa hapa duniani,dhambi ya kuwazulumu watanzania imekutafuna na wote waliobaki nao pia itawatuna tu
Iwe fundisho kwa waandishi wengine wa habari wa aina yake,wajue watanzania wanaumizwa na uandishi waoMshahara wa dhambi ni mauti uliwatumikia na kuwatetea mafisadi kwa manufaa yako binafsi na ukiwaacha watanzania wenzako wakiishi maisha magumu wamama wakizalia sakafuni vitu vikipanda bei wanafunzi wakikosa mikopo yote hii ni kutokana na hao mafisadi ambao ulikuwa ukiwatetea kupitia hiko kijijalada chako cha jambo leo,kweli malipo ni hapa hapa duniani,dhambi ya kuwazulumu watanzania imekutafuna na wote waliobaki nao pia itawatuna tu
Iwe fundisho kwa waandishi wengine wa habari wa aina yake,wajue watanzania wanaumizwa na uandishi wao
wa kutetea ufisadi na kukwepesha ukweli,il hali watanzania sasa hivi wanajua ukweli halisi,waandishi msifikiri
mnaweza kuwafool watanzania kwa kalamu zenu.Ni kwa mara ya kwanza naona watu hawasikitishwi na msiba.