Mhando kaamua kufa na tai shingoni?

unguzi unafanyika, baada ya hapo majibu yataletwa na wote tutayasikia. Public procurements zote zinafanywa kwa kufuata sheria za manunuzi and not otherwise.
Zitto yupo kwenye kamati ya ukaguzi wa hesabu za serikali na makampuni yaliyo chini ya serikali, that means kama kungekuwa na kitu chochote cha ziada wangeshakigundua tangu siku zote. Na anayafahamu makampuni yote in and out, he can not simply stand and support kuwa Mhando kaenda kinyume wakati ambapo yeye hilo hakuliona. Sasa kama mnamhukumu kahongwa just because anasimama katika kile anachoamini kuwa ni sahihi tunakosea sana. Tukumbuke kuwa kwenye party caucus juzi wabunge wa ccm chini ya kilio cha pinda walikubaliana wamuokoe maswi ili kurescue chama cha mapinduzi. What is done here is politics, tusipende kuwa overtaken by emotions pasipo kutafakari mambo kwa kina.
Mhando ametolewa kafara,na ndio maana speaker alisema issue ya mhando isijadiliwe bungeni,maana walikuwa hawajajipanga watokeje! Wameenda wamejipanga wamekuja wanapiga makofi paa paa paa. Katika hali kama hiyo lazima Zitto waseme amehongwa maana huwa hasukumwi na pressures za watu.Anasimamia haki na ukweli,ana reason before kufanya chochote![/QUOTE]


So Mhando kujipa biashara ni kutolewa kafara ???

Prof hakusema barua ya RITA inaitaka wizara inunue mafuta ??

Je PPRA hawajaislot TANESCO katika worst performers kwenye website yao getting 30% na wakaipeleka TAKUKURU ?

Je ZZK anajua mashirika yote in and out hivyo mbona mashirika haya yanaenda down?? Mbaya zaidi falsafa yake ya eyes on,hands off mbona hajaiapply yeye kama yeye wakati KM kamsimamisha kazi Mhando ( kumbuka hajaachishwa kazi )

Mwisho mbona ni Mhando tu ndio anahaha huku na kule kujinasua na kutafuta cheap sympathy ?mbona wenzake kina Mafuru,Ekelege and the CEO wa makumbusho ya taifa wako contented
 
Waziri mpya katibu mkuu mpya.
Jiulize ni mawaziri wangapi na makatibu wakuu wangapi wamepita hiyo wizara na wote wameishia kuwa watuhumiwa.Jiulize richmond ilhusisha waziri na katibu mkuu tu.Jiulize mbona kashifa hiyo ya richmond ilizimwa bungeni. Jiulize mbona bodi ya wakurugenzi haitajwi sana. Hii issue kuna jambo limejificha na mimi siamini kabisa kama TANESCO walifanya haya bila watu fulani kujua na kukaa kimya.Hata hii kampuni ya PUMA licha ya bei yake ndogo inahitaji kuchunguzwa mahusiyano yake na wakubwa wa serikali hii.Bei ndogo isiwe sababu hatujui nini kiko nyuma yake.
 
Jiulize ni mawaziri wangapi na makatibu wakuu wangapi wamepita hiyo wizara na wote wameishia kuwa watuhumiwa.Jiulize richmond ilhusisha waziri na katibu mkuu tu.Jiulize mbona kashifa hiyo ya richmond ilizimwa bungeni. Jiulize mbona bodi ya wakurugenzi haitajwi sana. Hii issue kuna jambo limejificha na mimi siamini kabisa kama TANESCO walifanya haya bila watu fulani kujua na kukaa kimya.Hata hii kampuni ya PUMA licha ya bei yake ndogo inahitaji kuchunguzwa mahusiyano yake na wakubwa wa serikali hii.Bei ndogo isiwe sababu hatujui nini kiko nyuma yake.

Kashfa ya Richmond ilizimwa bungeni? hivi wewe uko dunia ipi? hujui kuwa hata waziri mkuu na mawaziri wengine watatu wamejiuzulu kwa uongo wa Richmond?

Wizara zote mawaziri na makatibu wakuu wanapitia na kuondoka na hata huyu ikifika wakati ataondoka kama wengine. Hii ni kawaida toka enzi na enzi na si Tanzania tu ni dunia nzima.

Ni mawaziri wachache Tanzania hii waliomaliza miaka kumi katika wizara moja. Hiyo rikodi inashikiliwa na Kikwete kwa sasa alipokuwa waziri wa mambo ya nje wakati wa wa Ben.
 
Kukurupuka kivipi labda wewe ndio hujui.. Siku zote misukumo huwa ni kwa kujinufaisha lakini hapa hata mjinga anaona ni kwa jinsi gani hapa katibu mkuu katuokolea fedha zetu kuliwa na wajanja, funguka mzee mafisadi hutumia wakati mwingine sheria kujinufaisha.. hushangai bei iliyopatikana kupitia tenda ni kubwa kuliko bei iliyopatikana kupitia uamuzi wa katibu mkuu? Haya sasa tukio lenyewe limepelekea kuvunjwa kamati ya bunge ya nishati.. mengi yataibuka labda yatakutoa gizani.
<br>
<br>Watu wengi yaelekea hamjui sheria za manunuzi. kama tender ya mafuta ilitangazwa hawajasema kama Puma nao walikua miongoni mwa walio tender. Na kama alikuwemo basi sifa zote zinatakiwa kuaangaliwa na ambao watakidhi viwango hivyo ndio watakao shindanishwa katika bei. pengine sijui Puma document yake haikukidhi viwango au hakutenda kabisa hivyo hata kama una bei ndogo team ya evaluation itajueja ama una bei ndogo. Pamoja na kuepuka gharama za takriban bilioni 6 kwa ajili ya kuwachagua Puma bado hapa pia panatoa mwanya wa rushwa nyingine maana puma kama hakuwepo kwenye mchakato na ukampa deal hilo lazima tu atakukatia. labda tu tusema hata kama puma kamkatia katibu mkuu chochote hata kama ingefikia bilioni 1 lakini kisha okoa bilioni 6 kila mwezi. hapa na mimi sishawishiki kwamba Katibu mkuu hawakupewa bakhshishi iwe ya aina yoyote. Labda tumuachie Muumba ndio anaejua yaliyo siri na dhahiri
 
Kashfa ya Richmond ilizimwa bungeni? hivi wewe uko dunia ipi? hujui kuwa hata waziri mkuu na mawaziri wengine watatu wamejiuzulu kwa uongo wa Richmond?

Wizara zote mawaziri na makatibu wakuu wanapitia na kuondoka na hata huyu ikifika wakati ataondoka kama wengine. Hii ni kawaida toka enzi na enzi na si Tanzania tu ni dunia nzima.

Ni mawaziri wachache Tanzania hii waliomaliza miaka kumi katika wizara moja. Hiyo rikodi inashikiliwa na Kikwete kwa sasa alipokuwa waziri wa mambo ya nje wakati wa wa Ben.
Acha tabia ya kufunika kombe mwanaharamu apite.wabunge na watanzania wengi hawakuridhika na utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu richmond kwa mfano wahusika kuwajibishwa.Lakini wakati wabunge na wananchi wakitaka wahusika wawajibishwe kilichotokea ni spika kuja na hoja kuwa mjadala kuhusu richmond umefungwa rasmi na kanuni zinazuia kuongelea jambo lililokiwisha fanyiwa uamuzi.Sasa hii ni nini kama sio kufunika kombe mwanaharamu apite?Hembu we iba kuku alafu uone kitakachokutokea.

Mawaziri na makatibu wakuu kupita hoja ni namna gani wanaondoka.Wanaondoka kwa taratibu za kawaida au kwa kutuhumiwa?Na kama kwa kutuhumiwa naimbie ktk wizara hiyo tangu kikwete aingie madarakani ni nani mpaka leo ameshitakiwa?Na kama hawashitakiwa ni kwa kumlinda nani na kwa faida ya nani?
 
Mhando angefunguka tungejua mengi

Hawezi kufunguka, maana amefunguliwa tayari - nadhani hata yeye anashangaa and naamini hakutegemea hii sinema ingekuwa hivi? hii ya kufanya personal business na ofisi ya umma hataweza funguka tena, sana anaomba huo unaofanywa juu yake ufanywe na Mungu ambaye anasoma dhamira ya mtu kwa undani.
 
Hawezi kufunguka, maana amefunguliwa tayari - nadhani hata yeye anashangaa and naamini hakutegemea hii sinema ingekuwa hivi? hii ya kufanya personal business na ofisi ya umma hataweza funguka tena, sana anaomba huo unaofanywa juu yake ufanywe na Mungu ambaye anasoma dhamira ya mtu kwa undani.

Mimi najiuliza hivi huyu jamaa alikuwa anakula peke yake bila kushirikisha bwana wakubwa au wamegeukana?
Kama sikosei bwana Msabaha aliwahi kusema katolewa kafara na kauli hii nadhani ilipita kimyakimya.Sasa huyu sijui nae atakuja na lipi.Tusubiri
 
Ukishautaka Urais utapata kila aina ya kashfa......Za ukweli na za Uongo!!!! basi tu uonekani hufai kuwa Rais... Na ataandamwa sana huyu Zito ila akishasema kuwa hawezi kuwa RAIS then watamuacha....
Hivi ulijipa muda kidogo wa kufikiri? au umeamka usingizini na kuanza kuchangia! Zito anautaka uraisi kupitia cdm, Tanesco ni shirika chini ya serikali ya ccm, ndio waliomuwajibishaMhando, Zito lipotaka kumtetea mhando, pamoja na ushaidi wote unaoonyesha mhando amehusika kwa namna moja au nyingine ndio uliowafanya wabunge wengine kutaka kujua kulikoni Zito amtetee mtu wa aina hiyo? kaa ukijua ccm wanapenda sana Zito aendelee kutangaza nia ya kugombea uraisi kupitia cdm, kwa sababu kubwa mbili;
1.Zito yuko karibu sana au ni rafiki mkubwa wa mwenyekiti wa ccm (JK Kikwete)
2.Zito staili anayotumia kutangaza nia inaibua migogoro ndani ya cdm mfano kuwasingizia wabunge wenzake kwamba
wanamuunga mkono yeye kugombea uraisi.
kwa mazingira haya wabunge wa ccm lazima wangemuunga mkono zito ili aendeleze hizo propaganda za kuisambaratisha cdm. lakini hawajafanya hivyo sababu inawezekana ni kweli zito anahusika na hujuma hizo anazotuhumiwa. kwa hiyo sio suala la uraisi hapa.
 
Mimi najiuliza hivi huyu jamaa alikuwa anakula peke yake bila kushirikisha bwana wakubwa au wamegeukana?
Kama sikosei bwana Msabaha aliwahi kusema katolewa kafara na kauli hii nadhani ilipita kimyakimya.Sasa huyu sijui nae atakuja na lipi.Tusubiri

haya tusubiri atafungukaje! ila kwa hali ya sasa ilivyo naona hakuna kuaminiana tena, hivi unataka kuniambia hii movie inaweza kuwa imefika hapo bila huyo bwana mkubwa kutoa go ahead?
 
Ili la tanesco nahisi kudata ngoja niendelee kudaka details!
Watu mnatuletea mgao feki na nguzo zetu wenyewe za mafinga mnatupiga 1.2mil
Uzalendo upo wapi?
 
Hivi ulijipa muda kidogo wa kufikiri? au umeamka usingizini na kuanza kuchangia! Zito anautaka uraisi kupitia cdm, Tanesco ni shirika chini ya serikali ya ccm, ndio waliomuwajibishaMhando, Zito lipotaka kumtetea mhando, pamoja na ushaidi wote unaoonyesha mhando amehusika kwa namna moja au nyingine ndio uliowafanya wabunge wengine kutaka kujua kulikoni Zito amtetee mtu wa aina hiyo? kaa ukijua ccm wanapenda sana Zito aendelee kutangaza nia ya kugombea uraisi kupitia cdm, kwa sababu kubwa mbili;
1.Zito yuko karibu sana au ni rafiki mkubwa wa mwenyekiti wa ccm (JK Kikwete)
2.Zito staili anayotumia kutangaza nia inaibua migogoro ndani ya cdm mfano kuwasingizia wabunge wenzake kwamba
wanamuunga mkono yeye kugombea uraisi.
kwa mazingira haya wabunge wa ccm lazima wangemuunga mkono zito ili aendeleze hizo propaganda za kuisambaratisha cdm. lakini hawajafanya hivyo sababu inawezekana ni kweli zito anahusika na hujuma hizo anazotuhumiwa. kwa hiyo sio suala la uraisi hapa.


Anything happens in TZ is politically connected whether is Technical or not!!! As we r heading to 2015 URAIS is all that matters to whoever want to be and so does ZITTO!!! So back to ur qn!! Nilichukua muda Kufikiri?? the ans is YES I did...Na kuhusu kuamka na kuanza kuchangia then u r 100% off the axis of truth...MYOB!!!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom