Anatambulika na bodi ya wahandisi?
Amekuwa akijitaja na kutajwa;kujiita na kuitwa kuwa ni Injinia/Mhandisi/Engineer. Kiukweli,kada huyu mkongwe wa CCM,mbunge mtarajiwa wa Mbinga Magharibi na mkuu wa mkoa wa Rukwa,si injinia.
Nyaraka za kitaaluma za Stella Manyanya zinaonesha kuwa Manyanya ana Stashahada ya Juu ya Uhandisi toka Dar Tech ambayo kitaaluma haimfanyi kuwa injinia. Hajawahi kupata shahada ya uhandisi popote pale.
This year,we call a spade a spade,not a big spoon!
Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam