Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,721
- 21,778
SAMAHANI KAMA NI BABAKO HII NI AJALI KAZINI WALA USIOGOPE
mhadhiri wa chuo cha muhimbili akila kona kwenye mahafali baada ya kutupiwa mawe kwenye hafla ya kukabidhi degree zao
baadhi ya wanafunzi wamefanya fujo kushinikiza kurudishwa chama chao
wakati huo pembeni kuna dada alieamua kuanza kujipa raha hata kabla ya mahafali kuisha
mhadhiri wa chuo cha muhimbili akila kona kwenye mahafali baada ya kutupiwa mawe kwenye hafla ya kukabidhi degree zao
baadhi ya wanafunzi wamefanya fujo kushinikiza kurudishwa chama chao
wakati huo pembeni kuna dada alieamua kuanza kujipa raha hata kabla ya mahafali kuisha