Andiko langu litatofautiana kidogo na wengi. Kwanza nampa pongezi Bakari kwa kurekebisha hesabu zake za kwanza. Ila angekuwa muungwana kwa kukana hesabu zake katika toleo la kwanza. Angalau sasa tunaweza kujadili facts.
Hio figure zako ni stagnant. Kuna vitu vingi hujaviaacount. Naomba nikukumbushe baadhi ya mambo muhim ambayo umeyaacha. Mosi; Wafanyakazi hupanda vyeo. Mf wewe katika sekta uliopo ukiwa unaweza kuwa mhadhiri kamili baadae. Sasa kila sekta watu hupanda vyeo. Pili umesahau kwamba serikali kwa sasa hivi inaajiri saana sekta ya kilimo, afya na elimu. Sijui hesabu za hao watu umeziaccount vipi. Tukiachana na hesabu in real world serikali ikilipa mshahara huo based on yr hesabu ninakuhakikishia ni lazima ifilisike. Kwahiyo ishu iwe ni ukweli kwa kusimamia taaluma na ni vyema pia ukaanisha na madhara kwa uchumi wetu kama mishahara hiyo italipwa.
............hebu tuainishie na wewe basi uhalali wa mahesabu ya JK ili tukusome.....................