hehehehehe.... Swali la kizushi hapa.. hivi ikitokea Shivji anahitaji Urais mtampa KULA ZENU!? :biggrin1::biggrin1:
Nadhani Shivji alipenda kazi yake ya kufundisha,enzi za nyerere inasemekana alishawahi kupewa nafasi ya ukuu wa wilaya,akamwambia nyerere haiwezi baada ya kuripoti eneo la kazi na kukutana na changamoto gani sijui,na alitoa sababu zenye mantiki,akarudi mlimani kuendelea kufundisha,nadhani hata leo bado ana msimamo ule ule,ni mtu anayependa kuuishim ukweli!