Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
ukazkazini uko wapi hapo?kusema kweli ndo ukazkazini?zitto anafaa kusifiwa ila pia ni mtu wa kuogopwa
Ukweli upi umesemwa hapo? Halafu kama wewe ni mtu makini just try to read between lines you will sense a smell of Ukaskazini kwenye post ya huyo nduguyo. Halafu kama siyo unafiki wa kutupwa, kwa nini umsifie mtu halafu umuogope? Huo ni uvuguvugu ambao ni hatari kwa kijana. Kamanda Lissu alishawahi kusema "Ukiwa mnafiki ujanani, uzeeni lazima uwe mchawi/mwanga" take care kijana.