Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Zitto kwa hili hawezi kutoka, mimi naifuatilia hii thread mpaka asubuhi. Nipo tayari kukesha nijue mwisho wake.
Keep it up Mkuu, then in the morning you come out with your tangible conclussion.
 
Zitto is still seemed by most of Tanzanians as the potential material for this country's presidency.
Quixotic dreams! He is a flop for his incumbent position how dare would he bid for presidency. Besides, who in their right minds will do a grave mistake by puting this tyro politician into such a high position?
 
Hii ya Zitto ni cha mtoto (even if true). Kuna mtu anaweza kusema kwanini hadi leo hii hakuna hata police invistigation kuhusu mauaji ya wale watu watano huko Nyamongo na baadae maiti kutelekezwa barabarani? Kwa nini hakuna uchunguzi hata kama utasema marehemu 'walikuwa na makosa'? Why?

Then wakati wa kikao cha bunge hili la bajeti lililoisha hivi karibuni kuna special 'events' mbili ambazo ni tata:
1. Ubalozi wa Canada waliandaa chakula maalum kwa wabunge wote huko Dodoma kwa kisingizio kuwa wanasheherekea Canada day. Hata hivyo siku waliyotoa huo mnuso haikuwa 'days before' the actual Canada day! Na kipindi hiki kulikuwa bado na majonzi ya Nyamongo. Wabunge wamepata mnuso, Nyamongo killings forgotten?

2. Asha Doctor Migiro bado anaonekana kuvutiwa sana na siasa za bongo na hivi majuzi (wakati wa kikao cha bunge la bajeti) alikuwa Dodoma kwa another set of special 'events'. Lakini moja alikuwa mgeni rasmi kwenye mkutano mkuu wa Tanganyika Law Society (TLS). Mpaka hapo hakuna shida. But guess who was the main sponsor? - Barrick!

Sasa jumlisha, Wabunge wamepata mnuso, wanasheria wamepata push! Kama haitoshi vile, Balozi wa Canada baada ya hizi shughuli mbili kaenda kuwatembelea Media Council!!! Sijui anawaatakia nini hawa media na sjui kama kuna mtu huko Media Council aliweza kuanganisha TIMING ya ujuo wa huyo balozi na matukio ya Nyamongo. Nadhani hawa ndugu zetu walifikiri amekuja kuwasifia kuhusu utendaji wao wa kazi!

Sasa hivi tunaona tunayoona, kodi hakuna, mahusiano na wakazi wa maeneo ya migodi ni mgogoro, na wenye nafasi ya kurekebisha wanakaa kimya.

Mwisho, someni hapo kwenye red: Kodi za wafanyakazi zinalingana na royalties & levies za kampuni. What a coincedence?

But Barrick only paid $37 million in royalties and levies that year about one per cent of Tanzania's total tax revenue of $3.27 billion. Employees paid another $37 million in taxes on their salaries.
 
Zitto is still seemed by most of Tanzanians as the potential material for this country's presidency.

Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.
 
Binafsi lipoisoma sikuamini macho yangu lakini kwa vile namheshimu sana Zitto na inanipa shida sana kwa sababu hii habari tayari inazungumziwa na watu wa juu kuhusiana na mkuu wangu Zitto. Sasa ni bora Zitto alimalize hapa JF kwa sababu jamani eeeh? lazima tuwe na uchungu na nchi yetu hasa mtu ukiyasoma haya:-

Barrick has some big numbers of its own, but they barely affect the country's budget. Tanzania exported $1.5 billion worth of gold in 2009, 40 per cent of the value of all Tanzania's exports, and most of that gold was Barrick's. But Barrick only paid $37 million in royalties and levies that year about one per cent of Tanzania's total tax revenue of $3.27 billion. Employees paid another $37 million in taxes on their salaries.

The most glaring zero in Barrick's budget is corporate tax. Tanzania charges 30 per cent corporate income tax, but Barrick pays none because it hasn't recouped expenses as three of its mines aren't considered profitable yet. The fourth mine, Tulawaka, is profitable but Barrick cancels out the earnings with Buzwagi's expenses to delay paying corporate tax. Tanzania amended its income tax law in 2010 to prevent this sort of offsetting and it would now tax every gold mine individually, but Barrick keeps its existing arrangement.

Tanzania actually owes Barrick millions. In Tanzania, companies pay a "value-added tax" similar to Canada's GST when they buy goods and services and import fuel. As in Canada, the government owes a refund when companies pay more VAT than they collect from their customers. Barrick has no Tanzanian clients so it's entitled as of December 2010 to a total refund of $121 million that Tanzania over-collected over the years and can't afford to repay.
 
wakuu huu uozo its too big of uozo kumlaumu mtu mmoja I blame all generation; embu angalia hapo chini:-

Tanzania charges 30 per cent corporate income tax, but Barrick pays none because it hasn't recouped expenses as three of its mines aren't considered profitable yet.

Na kama hiyo haitoshi.....

Aside from not receiving corporate income tax, Tanzania actually owes Barrick millions. In Tanzania, companies pay a "value-added tax"
Barrick has no Tanzanian clients so it's entitled as of December 2010 to a total refund of $121 million that Tanzania over-collected over the years and can't afford to repay. It's more than one per cent of the country's official debt.

Kwahiyo wakuu kumlaumu Zitto kwa huu uozo itakuwa ni kutafuta mtu wa kulaumu..., this blunder goes far beyond Zitto and only one person
 
Hii habari ni ya kweli kabisa. Huyo mwandishi (mtafiti) alinihoji na mie ndio niliweka wazi kuwa Barrick mwaka 2008 walinunua mabati kwa ajili ya shule ya Sekondari Mkabogo katika Jimbo la Kigoma Kaskazini. Sikuwahi kushika mkononi pesa hizo wala kushiriki kuamua zitumike namna gani. Niliamua hivyo kwa uwazi kabisa na ndio maana sikuwahi kuficha suala hilo na hata kuliweka wazi kwa mwanafunzi huyu ambaye alinihoji mwaka 2010.

Sijawahi kuwa kimya kabisa katika suala la sekta ya madini. Nilisimamia kuandikwa kwa sheria mpya na kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa Watanzania. Nimekuwa mkali kutaka kampuni za madini kulipa mrahaba wa madini wa sasa kwa mujibu wa sheria mpya. Ukitembelea blog yangu utakuta hotuba zangu Bungeni zenye misimamo yangu ya wazi kabisa kuhusu sekta ya madini.

Nakaribisha mtu yeyote aende Jimboni kwangu, kijiji cha Mkabogo akafanya uchunguzi kuhusu msaada ule. Nipo tayari pia Halmashauri ya Wilaya waweke wazi account iliyopokea pesa hizo na kuweka matumizi yao wazi.

Mimi binafsi sijawahi kupokea msaada wowote binafsi kutoka kampuni ya Barrick. Siku zote nimekuwa na misimamo isiyoyumba kuhusu sekta ya madini na nimekuwa nikiwa engage sana Barrick ili Tanzania ifaidike na madini yake.

Hata hivi sasa ukienda kwenye blog yangu zittokabwe.com utakuta nimewasema Barrick kwa kutolipa kodi ya mapato. Niliwasema katika interview na huyo kijana kutoka Canada kuhusu jambo hilo na niliwasema katika mijadala ya vyuo vya elimu ya juu kuhusu madini.

Ninaamini makampuni yana jukumu la kusaidia jamii. Kwamba Barrick walisaidia ujenzi wa shule ya Sekondari Jimboni kwangu, Jimbo ambalo lipo nyuma sana kimaendeleo ni jambo la kushukuru na sioni tatizo lolote la kimaadili.
 
Mkandara umetokea wapi jogoo alisha wika siku nyingi! Haya mambo watu wameyaongea siku nyingi sana humu JF hadi wamechoka.

Siku moja niliwai kukwambia kuwa namwamini Dr. Slaa peke yake ukanishambulia sana sijui kama unakumbuka hiyo siku? Hayo madogo sana hasa kwa aina ya wananchni tuliona nao na aina wanasiasa tuliona, ndio maana hata hapa JF utakuta kuna watu wanashupalia na hawaoni makosa ya Chama chetu tawala hata siku moja!

Haya kwangu ni yakusameheme maana ni tabia ya mtu binafsi na inawakilisha sura yetu halisi Watanzania tukipewa madaraka, ila mabaya ni yale kuhadaa Umma, sipendi sana watu ambao wapo tayari kuuza Umma kwa ubifsi wao, mimi hapo ndipo nilipomwacha pembeni rafiki yangu Zitto baada ya kuthibisha kuwa hana tofauti na aina ya wanasiasa ambao wapo tayari kufanya lolote kwa maslahi binafsi.

Mimi ni rafiki sana lakini kisiasa nilishamfuta na wala simuungi mokono hata nikisikia anagombea udiwani.
 
Mimi binafsi sijawahi kupokea msaada wowote binafsi kutoka kampuni ya Barrick. Siku zote nimekuwa na misimamo isiyoyumba kuhusu sekta ya madini na nimekuwa nikiwa engage sana Barrick ili Tanzania ifaidike na madini yake.

Hata hivi sasa ukienda kwenye blog yangu zittokabwe.com utakuta nimewasema Barrick kwa kutolipa kodi ya mapato. Niliwasema katika interview na huyo kijana kutoka Canada kuhusu jambo hilo na niliwasema katika mijadala ya vyuo vya elimu ya juu kuhusu madini.
Kwahiyo kama habari haina ukweli, je upo tayari kumpeleka mwandishi mahakamani kwa kukuchafulia jina?
 
Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.
Zitto will become the presindent of this country in the future believe me. Kuhama haitakusaidi Mamanalia kwa sababu masikioni utaendelea kusikia Rais wa Tanzania Mh. ZZK. Labda ujinyonge, hiyo ndiyo itakuwa nafuu yako.
 
Barrick deflects Tanzanians' demands for more taxes by touting the trickle-down effect. It says it spent $69 million on goods and services from Tanzanian companies in 2009: proof that it's injecting money into Tanzania's economy and benefiting the entire nation. "Our biggest argument when dealing with government is convincing them that this is an issue about getting a bigger cake rather than trying to get more slices from the same cake," says Teweli Teweli, the company's Public Relations Manager.

ukisikia trickle down theory.................................ujue huo ni ufisadi kwa kuwadanganya wadanganyika na peremende kama watoto............
 
Nilisimamia kuandikwa kwa sheria mpya na kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa Watanzania. Nimekuwa mkali kutaka kampuni za madini kulipa mrahaba wa madini wa sasa kwa mujibu wa sheria mpya. Ukitembelea blog yangu utakuta hotuba zangu Bungeni zenye misimamo yangu ya wazi kabisa kuhusu sekta ya madini.

Mkuu mimi sina tatizo la hao jamaa kusaidia wananchi (after all we need more of the same...)

Lakini haya mambo ya kwamba Barrick hailipi kodi zinazopaswa kwa kisingizio kwamba haijapata faida... (kumbuka madini wameshayachimba na by the time wanapata faida watakuwa wameshamaliza madini na kuondoka nchini) Pia hili suala la kuidai serikali mapesa in terms of vat returns....!!!

Umesema kwamba umekuwa mkali (and since umesimamia sheria mpya kuandikwa..) basi mkuu haukuwa mkali enough sababu ungekuwa mkali sana hata ungelazimisha hizi sheria zifanye kazi retrospectively.....

Mkuu najua hii sio kazi yako peke yako lakini tuwe wachungu na mali ambazo wajukuu wametukopesha..., kumbuka na wewe ni kama mlinzi uliyepewa silaha kulinda hizi mali..., anything goes wrong we will all be the ones to blame..., am sure tungekusanya kodi ipasavyo tungeweze kujenga hata University hapo Kigoma....!!
 
He also came to know Barrick
The commission ended in 2008 and published a widely-cited document called the Bomani Report. It highlighted numerous flaws in the country's mining agreements, suggesting that villages around Tanzania's gold mines haven't benefited from foreign investment as they should have and that the government was misguided when it sold Barrick its final five per cent share of Bulyanhulu soon after the giant entered the country. The report recommended the government increase royalties and grant fewer tax exemptions.
Parliament began to discuss a new Mining Act

huyu kijana Zitto Kabwe anafanana sana kitabia na Lowassa.......................long in lips service but very dwarf in real substance......................kwa sababu they have both set their minds on earthly things.............................................and their shame is their glory.....................................lakini mwanadamu asifikiri yeye ni Muumba kwa sababu kifo ndicho msema kweli ...........................mwanaadamu anapokufa utajiri au umasikini wake vyote anaviacha hapahapa kama alivyozaliwa uchi wa mnyama,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Zitto is very corrupt......................kwenye hii mikataba he made almost a billioni Tshs.................
 
Hii habari ni ya kweli kabisa. Huyo mwandishi (mtafiti) alinihoji na mie ndio niliweka wazi kuwa Barrick mwaka 2008 walinunua mabati kwa ajili ya shule ya Sekondari Mkabogo katika Jimbo la Kigoma Kaskazini. Sikuwahi kushika mkononi pesa hizo wala kushiriki kuamua zitumike namna gani. Niliamua hivyo kwa uwazi kabisa.na ndio maana sikuwahi kuficha suala hilo na hata kuliweka wazi kwa mwanafunzi huyu ambaye alinihoji mwaka 2010.
Sijawahi kuwa kimya kabisa katika suala la sekta ya madini. Nilisimamia kuandikwa kwa sheria mpya na kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa Watanzania. Nimekuwa mkali kutaka kampuni za madini kulipa mrahaba wa madini wa sasa kwa mujibu wa sheria mpya. Ukitembelea blog yangu utakuta hotuba zangu Bungeni zenye misimamo yangu ya wazi kabisa kuhusu sekta ya madini.
Nakaribisha mtu yeyote aende Jimboni kwangu, kijiji cha Mkabogo akafanya uchunguzi kuhusu msaada ule. Nipo tayari pia Halmashauri ya Wilaya waweke wazi account iliyopokea pesa hizo na kuweka matumizi yao wazi.
Mimi binafsi sijawahi kupokea msaada wowote binafsi kutoka kampuni ya Barrick. Siku zote nimekuwa na misimamo isiyoyumba kuhusu sekta ya madini na nimekuwa nikiwa engage sana Barrick ili Tanzania ifaidike na madini yake.
Hata hivi sasa ukienda kwenye blog yangu zittokabwe.com utakuta nimewasema Barrick kwa kutolipa kodi ya mapato. Niliwasema katika interview na huyo kijana kutoka Canada kuhusu jambo hilo na niliwasema katika mijadala ya vyuo vya elimu ya juu kuhusu madini.
Ninaamini makampuni yana jukumu la kusaidia jamii. Kwamba Barrick walisaidia ujenzi wa shule ya Sekondari Jimboni kwangu, Jimbo ambalo lipo nyuma sana kimaendeleo ni jambo la kushukuru na sioni tatizo lolote la kimaadili.

Hapa ndipo Zitto anapowapiga bao wanasiasa wenzake. Watu wakitaka ufafanuzi toka kwake anajibu hapo hapo. Anathubutu hata kama hamtakubaliana na jibu lake lakini amewajibu na kuwapa mwanga. Wengine wakiulizwa kimya!! Kwa mfano mbona mnachukua posho za vikao mwenzenu ZZK hachukui, kimya!! Mkuu Zitto mimi nimekukubali. Lakini basi endelea kuwabana kama ulivyowafanya wakati ule wa Buzwagi hadi tukakupokea Jangwani. Sasa hivi suala la madini limekuwa tata kuliko hata miaka ile ya Buzwagi.
 
Hii habari ni ya kweli kabisa. Huyo mwandishi (mtafiti) alinihoji na mie ndio niliweka wazi kuwa Barrick mwaka 2008 walinunua mabati kwa ajili ya shule ya Sekondari Mkabogo katika Jimbo la Kigoma Kaskazini. Sikuwahi kushika mkononi pesa hizo wala kushiriki kuamua zitumike namna gani. Niliamua hivyo kwa uwazi kabisa.na ndio maana sikuwahi kuficha suala hilo na hata kuliweka wazi kwa mwanafunzi huyu ambaye alinihoji mwaka 2010.

Good Zitto kwa ufafanuzi wako. Ni juu ya mwana JF mwenyewe sasa kupima lakini ulichofanya kujibu hapa jukwaani umefanya vema sana.
 
Zito ni wa kusamehewa, niliwahi kuandika katika thread moja kuwa wanasiasa wa aina ya Zitto wasipate shida kuajiri watu wa kuwashauri ili waweze kukithi haja ya sasa ya kisiasa ambayo ina changamoto nyingi mno.

Kweli Zitto ni kijana machachari ambaye anajua kujenga hoja sana lakini bado si mkomavu kisiasa kuweza kuruka mitego yote ya mafisadi. Kwanza muangalie alivyokuwa mbinafsi katika uchaguzi wa mwaka jana alipotuambia watanzania kuwa yeye asingeweza kumkana kikwete kwa sababu alifanya makubwa sana jimboni kwake. Labda tumuulize leo atwambie kama serikali kupeleka maendeleo katika jimbo lolote ni fadhila na kwa hiyo watu wanatakiwa kufurahia? Hakuna serikali inayoomba kusifiwa kwa kutekeleza majukumu yake ya kiserikali. Huo ni wajibu wake, ambacho wananchi wanaweza kukifanya ni kufurahia na kwa kufurahia serikali inatambua kuwa wananchi wananufaika na juhudi zake za kuwasogezea maendeleo.

Kama mchango wa serikali jimboni kwake uliweza kumpunguzia makali ya kuirushia makombola serikali katika maeneo ambayo ilishindwa basi ingekuwa rahisi sana serikali kuiomba Barrick kusaidia maendeleo kigoma kwa kujua udhaifu wa Zitto.

Lakini haya si matope yanayofanana na ufisadi kwani amenufaisha wananchi wake, udhaifu uliopo ni kwamba amewapendelea kwa kuomba msaada kwa taasisi ambayo tayari alishaituhuma kukosa uadilifu na kwahiyo alikuwa anameza matapishi yake
 
Zitto,

Nadhani maelezo yako yanatoa mwanga kwa kiasi fulani lakini pia yanaweza kupwaya katika maeneo fulani fulani.

Kama nimeelewa hii article vizuri ni kwamba 'author' anauliza Zitto wa 'pre-mabati toka Barrick ndiyo huyo huyo wa after-mabati? Na chimbuko la swali lake (kama nimeelewa vizuri) anaangalia 'ukali' wako kwa hawa Barrick kabla hakujawa na huu msaada kwa shule ya jimboni kwako na sasa.

Na katika kujenga hoja yake nadhahi mwandishi atakuwa amejiuliza je, unaridhika na mchango wa Barrick kwa sasa? Kama hauridhiki kwa nini hauko 'vocal' kama ulivyokuwa huko nyuma? Na katika kupekuwa ndio 'author' akaja na hii theory ya msaada toka Barrick na 'supposedly' upole wako siku hizi. Nadhani hii ndio hoja ya kujadili.
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo kama habari haina ukweli, je upo tayari kumpeleka mwandishi mahakamani kwa kukuchafulia jina?
Mkuu acha kusoma thread kwa makengeza. Ameelezea kwamba habari ni za kweli, na amefafanua vizuri unataka nini la zaidi.
 
Back
Top Bottom