Mh. Werema amfundisha Lissu somo la sheria bungeni

Werema hana lolote anachosema ni upotoshaji mtupu, anatetea maovu ambayo yamefanywa na serikali ya ccm, tangulini mtu kaambiwa ni mwizi na akakiri mimi mwizi, Tatizo la CCM hawataki kuelezwa ukweli, binaadamu asiye-accept ya wenzake huyo ni hatari sana, na mwisho wa siku ataishia pabaya. Lisu usivunjike moyo sisi watanzania tuko pamoja, ukweli wa mambo haya utajulikana siku si nyingi. Lisu Mungu akulinde Mungu akubariki, Werema Mungu aendelee kukupiga upofu. AMEN.


Mh. Mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema, amempa somo Tundu Lissu kuwa bado ni mchanga kwenye sheria, kwani yeye anajua sheria za mazingira tu na hajui sheria za katiba. Kwa maana hiyo basi, ameseme yeye amejitolea kumfundisha Lissu sheria za katiba ili aweze kutafsiri vizuri katiba na kujua maana yake. Hii yaonyesha kumbe Lissu ni mchovu wa elimu ya sheria ya katiba. Kitu kama hukijui Mh. Lissu , sema hukijui kuliko kupotosha wananchi kwa maana siyo.
 
Mh. Mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema, amempa somo Tundu Lissu kuwa bado ni mchanga kwenye sheria, kwani yeye anajua sheria za mazingira tu na hajui sheria za katiba. Kwa maana hiyo basi, ameseme yeye amejitolea kumfundisha Lissu sheria za katiba ili aweze kutafsiri vizuri katiba na kujua maana yake. Hii yaonyesha kumbe Lissu ni mchovu wa elimu ya sheria ya katiba. Kitu kama hukijui Mh. Lissu , sema hukijui kuliko kupotosha wananchi kwa maana siyo.

Je WEREMA ni mwanasiasa au?
 
Mh. Mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema, amempa somo Tundu Lissu kuwa bado ni mchanga kwenye sheria, kwani yeye anajua sheria za mazingira tu na hajui sheria za katiba. Kwa maana hiyo basi, ameseme yeye amejitolea kumfundisha Lissu sheria za katiba ili aweze kutafsiri vizuri katiba na kujua maana yake. Hii yaonyesha kumbe Lissu ni mchovu wa elimu ya sheria ya katiba. Kitu kama hukijui Mh. Lissu , sema hukijui kuliko kupotosha wananchi kwa maana siyo.

Hii JF inazidi kwenda down the hip.
 
Sasa kipi unacho bisha hapo ? Mh Werema amesema wazi watu wenye utaalamu na elimu ya sheria ya katiba ni kama Dr. Mwakyembe, Prof. Palamagamba Kabudi na sio Prof. Shivji, yeye hakusomea sheria ya katiba. Sikiliza Bunge acha uchovu


Kwa hiyo maneno ya Werema unayachukulia kama maneno ya kwenye Juzuu
 
Yani werema ndio wa kumfundisha Lisu? thats a joke huyo werema ni kiazi haijawahi tokea katika mlolongo wa AGs nchi hii sijui hata aliyempa ujaji alitumia vigezo gani
 
Werema ni mtaalamu wa sheria za ndoa.
Kama alivyo ndugu yenu alivyo mtaalamu wa sheria zinazohusu 'MAJI TAKA' kama mtaani kwenu chemba za maji taka zinavuja au kuna dampo la takataka maeneo ya kwenu af Manispaa hawataki kurekebisha ukienda mahakamani mtumie Lissu kama Wakili lazima mshinde manake kabobea kwenye maeneo hayo kuhusu uchafuuchafu wa mazingira..
 
Mh. Mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema, amempa somo Tundu Lissu kuwa bado ni mchanga kwenye sheria, kwani yeye anajua sheria za mazingira tu na hajui sheria za katiba. Kwa maana hiyo basi, ameseme yeye amejitolea kumfundisha Lissu sheria za katiba ili aweze kutafsiri vizuri katiba na kujua maana yake. Hii yaonyesha kumbe Lissu ni mchovu wa elimu ya sheria ya katiba. Kitu kama hukijui Mh. Lissu , sema hukijui kuliko kupotosha wananchi kwa maana siyo.

Mbona hana hoja hapa.Hivi ni vijembe tu kama tulivyozoea vile vya Mwigulu kwamba yeye ni msomi na wengine hawajui.Naona jamaa wa CCM siku hizi wanajivunia madaftari.Jinsi ya kujenga hoja ni umahiri na uelewa,haijalishi umesoma sheria ya mazingira au sheria ya katiba.Ni ishu ya kuwa Smart tu kuchambua issues.
 
Ni mtaalamu wa sheria za mazingira ila si mtaalamu wa sheria za katiba, hapo ndipo naomba uelewe mkuu, hawezi kuwa mjuzi wa sheria zote aisee

Sio lazima ubobee ndio uwe na ufahamu wa fani. Utasoma nyanja zote za fani ila utaspecialize hiyo unayopenda. Huyu Werema ni Jaji lakini anaongea kama sio msomi vile.

Hao waliobobea sheria ya katiba wamepractice wapi? Kama walisoma sheria za katiba na hawajapractice ni sawa tu na hao ambao hawakuspecilise. Katiba ya Tanzania ilikuwepo kabla wao hawajaenda shule, kilichofanyika ni marekebisho tu, halafu eti wamebobea. UPUUZI.
 
Mkuu kwenye fani ya sheria na wao wan a specialize kwenye specific areas tu na si kuwa kila mtu anajua kila kitu. Mh lissu yeye ni mtaalam wa sheria za mazingira na si mtaalam wa sheria za katiba. Magwiji wa utaalam wa sheria za katiba ni Dr mwakyembe na Pro palamagamba kabudi

SI KWELI. Palamagamba ni gwiji wa Sheria za Mazingira (if there is anything like that). Ni nani aliongoza mchakato wa kuandaa Sheria ya Mazingira ya Mwaka 2004? Na Kanuni zake?

Kabudi amefanya kazi ngapi kuhusiana na Sheria ya Wanyamapori na Kanuni zake? Unapotosha. Mwanasheria yeyote (kama ilivyo kwa profession nyingine), bila kujali area of specialization, wana misingi inayofanana. Huwezi kusema kwamba mwanasheria fulani ni mtaalamu wa katiba, hivyo hajui kitu kuhusu sheria za makosa ya jinai au sheria za mazingira.

Kama ambavyo huwezi kusema kwamba mchumi fulani ni mtaalamu wa labor economics, hivyo hajui kitu au hawezi kujadili masuala yanayohusiana na development economics or health economics or economic theory. That is nonsense.

Hata Kabudi hawezi kusema hivyo. Hata Dr. Mwakyembe hawezi kusema hivyo. Ni wewe tu na Werema mnaweza kusema hivyo. Na ku-verify yote aliyosema Mwanasheria Mkuu, unaweza kusema kwamba Prof. Shivji si mtaalamu wa Sheria za Katiba? Can you? The bottom line, Magamba hawapendi watu wanaosema ukweli. Kwani mara nyingi ukweli huwa ni kinyume na matakwa yao. Kabudi hupenda kuwaambia wanachotaka kusikia ili apate hela. Na anapata hela.

Yuko biased kwa manufaa yake binafsi. Na wanampenda. Wanasema ni mtalaamu wa kila kitu lakini waliomfundisha si wataalamu.
 
Naona mambo yanaanza kuwa magumu kwa hawa vidagaa wa siasa. Mwisho watakaa kimya bungeni.

Hon AG angekuwa mjuzi wa Katiba, rejea ule mswada wa sheria ya marekibisho ktk Katiba, Je ungerudishwa bungeni chini ya miezi 2...??
Mwana Jamvi mwenzangu plse 2pungeze ushabiki...,
Viongozi (wakiwa madarakani) ktk Govt yetu kusahihishwa kwao ni dhambi na chuki ...,
ila wakiwa nje aahaah ni marafiki wazuri kwa Watanzania wote!
 
Back
Top Bottom