Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
yeye na prof. Maji marefu wako pamoja kwenye kamati yao, ipi ya ufundi?!
Utoto at its best
yeye na prof. Maji marefu wako pamoja kwenye kamati yao, ipi ya ufundi?!
Elimu yake ikoje, ana masters ya political science?Tatizo ni kwamba Mzee Pinda si mwanasiasa, ni diplomatic.
<br /
Elimu yake ikoje, ana masters ya political science?
Mh. Pinda kageuka tena sasa hivi bungeni kuhusu kauli yake ya kubana matumizi ili kusaidia bajeti ya nishati na madini. Kigeugeu 100%
acheni ushabiki na upenzi wa chama mpaka mnakua hamtumii akili kufakiri!!,ili MH PINDA awe kigeugeu, kuna ushahidi gani kama MH PINDa na MH MBOWE walikuwa na muafaka/makubaliano ktk umeya wa ARUSHA, na hayo makubaliano kamati kuu ya CDM ILI YAKUBALI LINI?.....MMEWAFUKUZA MADIWANI KWA KOSA LIPI? IKIWA KIONGOZ MKUU WA CDM ndio zake kuingia mkubaliano kinyemela, .... tena yaye akikutembelea tu mmekubaliana!!.
Tusubiri tena kigeugeu cha mh. PM wetu leo asubuhi mjengoni, wakati waheshimiwa wabunge wanapojadili bajeti ya wizara ya nishati na madini.
<br />
<br />
kudos nngu007 kwa hili maana hawa jamaa kuanzia mkuu wa kaya mpaka vijakazi wake nivigeugeu wananigeukia..
wanasiasa wetu nivigeugeu wananigeukia..[/QUOTE
NI KWANINI UUME MANENO?
HUO NI MFUMO WA CHAMA CHA MAGAMBA
ILI UWE KIONGOZI LAZIMA UWE MUONGO,MWIZI,MNAFIKI,USIWE NA HURUMA NA WADANGANYIKA SAMAHANI WATANZAGIZA.
HUU UONGOZI ULIOKO MADARAKANI NI MZIGO MKUBWA KWA WALALA GIZANI.
NI KUANZIA KIRANJA MPAKA WA MWISHO HATUWAFAI HATA BURE
So now i realise that 3rd parts are more dangerous than.By the way mkutano kati ya Pinda na Mbowe na slaa haukuwa/haukustahili kuwa trated confidential no need for the third part to know?
sio kigeugeu tu bali ni pinda pinda wa mipango