Kuna umuhimu raisi Kikwete kujua Tanzania ina mikoa mingapi? Ndio au hapana?
huo mfano wakujua idadi ya mikoa ya tanzania na idadi ya magereza haifanani, tafuta mfano mwingine.
Nyani ngabu, unajua Tz ina mikoa mingapi? Kama jibu ni ndio, itaje. Be frank, usigoogle.