Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Mar 27, 2010 #2 ..Mzee lazima atakuwa amepandwa na handasi huyo anatafuta maeneo yenye network.
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Mar 27, 2010 #3 hapo alikuwa anaangalia material tu ya hiyo frem
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Mar 27, 2010 #4 hahahahahahahahah huyo babu masikini weeeeeeee....
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Mar 27, 2010 Thread starter #5 Picha ingesogea karibu ungekuta na kasuruali kametuna kidogo lol
Waberoya Platinum Member Aug 3, 2008 15,169 10,785 Mar 27, 2010 #6 Nimecheka sana, hiyo picha ina interpretation nyingi tu! LOL! MNATAKA KUSEMA mzee kajisahau anafikiri ataona kitu kwa mbele?
Nimecheka sana, hiyo picha ina interpretation nyingi tu! LOL! MNATAKA KUSEMA mzee kajisahau anafikiri ataona kitu kwa mbele?
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Mar 27, 2010 #7 Mzee just anaangalia fremu ya picha kama ni ya mninga au msonobari.
senator JF-Expert Member Aug 9, 2007 1,924 66 Mar 27, 2010 #8 X-PASTER said: Mzee just anaangalia fremu ya picha kama ni ya mninga au msonobari. Click to expand... Hahahahahaha duh unatanivunja mbavu mwana hapa mana nilikuwa nacheka huku villa wanarudisha bao hapa 1-1 rahaaaaaaaa
X-PASTER said: Mzee just anaangalia fremu ya picha kama ni ya mninga au msonobari. Click to expand... Hahahahahaha duh unatanivunja mbavu mwana hapa mana nilikuwa nacheka huku villa wanarudisha bao hapa 1-1 rahaaaaaaaa
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Mar 27, 2010 Thread starter #9 Mzee inaonekana mtaalamu wa chabo huyu
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Mar 27, 2010 #10 Hehhe hehe alidhania upende wa pili kuna nanihii
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Mar 29, 2010 #11 Maria Roza said: Hehhe hehe alidhania upende wa pili kuna nanihii Click to expand... nn sema usikike!!
Maria Roza said: Hehhe hehe alidhania upende wa pili kuna nanihii Click to expand... nn sema usikike!!
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Mar 29, 2010 #13 huyu mzee anafaa sana huyu! anataka kuona huyu demu anaficha nn? kwani cha kwake kikoje?
B Bulesi Platinum Member May 14, 2008 14,205 13,709 Mar 29, 2010 #14 Maria Roza said: Hehhe hehe alidhania upende wa pili kuna nanihii Click to expand... Maria.haiwezekani mzee akadhani kuna nanii upande wa pili kwasababu ameishaziona nanii za sampuli nyingi mno kwa umri alionao!!
Maria Roza said: Hehhe hehe alidhania upende wa pili kuna nanihii Click to expand... Maria.haiwezekani mzee akadhani kuna nanii upande wa pili kwasababu ameishaziona nanii za sampuli nyingi mno kwa umri alionao!!