Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #41
The dirt paka,u have to read between the lines!
Last edited by a moderator:
wanakula chips mayai mno na hizi net za bush sijui....kimoja tena fastafasta mtu chali ..kazi ipoWanawake asilia wanapaswa kuandaliwa katika tendo la ndoa iliwalifurahie. Ni Mwanamme ndiyo mwenye wajibu huo na si vinginevyo. Mume aliyefundwa na kujibidisha namna ya kusisimua mke ndoa haina tabu. mume anapaswa kumstadi mke speed yake ya kuelekea kileleni na hivyo amsubiri . TATIZO WANAUME WENGI WABINAFSI HUTAKA KUFURAHIA PEKE YAKE WENGI HAWANA MPANGO WA KUJUA HAYO- TATIZO NI MFUMO DUME.
wanaume ndo hawawafikishi kileleni wake/wapenzi wao, mbona wanawake wanawafikisha wanaume kileleni hata dk 5 ni nyingi? ina maana kwamba wanaume hawajui mapenzi.:A S-heart-2:
Eiyer swali lako au mshangao wako ni wa haki kabisa lakini pia tukumbuke kuwa hakuna shule inayofundisha juu ya kuridhika au kutoridhika na tendo. Hata biology tufundishwayo mashuleni twafundishwa juu ya reproductive issues ambazo huexplain tendo lile kama ni la kureproduce offsprings tu i.e. kwa kazi maalumu ya mwanaume kutoa mbegu na mwanamke kuconceive.......... maswala ya kufika au kutokufika kibo huwa hata hatuyajua! Wanawake wanaojua juu ya kilele nadhani (I stand to be corrected) ni wale ambao wamesoma kwenye mainternet na watoto wa kileo otherwise wengi wetu sie (tulofunzwa na wakunga_ swala la mwanamke kuenjoy, achilia mbali kufikishwa halipo na ndio maana wengi wetu tulifunzwa juu ya kukatika viuno juu ya sindano, kubana na kuachia, sijui kukamua n.k yote hayo ni katika kuhakikisha mwanaume (not mwanamke) anaenjoy (Mtanisamehe bure jamani tukihamishwa chumba)- Kwa hiyo hii sehemu yako ya mshangao sidhani kama tunawezawalaumu wanawake wengi kwa kutolijua hili.Asilimia 95 ya wanawake walioko kwenye ndoa na mahusiano hawafiki kilele wakati wa tendo la ndoa,lakini robo tatu ya asilimia hiyo hawajui kama mwanamke naye hufika kilele!
Wakati huohuo asilimia 85 ya wanawake walioko kwenye ndoa ama wameshaenda kwa mganga kupewa dawa za kuwafanya waume zao wawapende au wanatafuta waganga hao ili kupata dawa.
Lakini asilimia 80 ya wanawake walioko kwenye ndoa/uhusiano wanafujwa(abuse)kwenye ndoa au uhusiano.Lakini ni asilimia 98 ya wanawake wote hawako tayari kuishi bila waume.Na asilimia 6 ya wanawake walioko kwenye ndoa hufa kila mwaka kutokana na matatizo ya kindoa!. . . . . .Wanawake mna matatizo gani?