Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Kama CCM ikichukua Zanzibar, Mh. Nahodha hawezi kuwa Waziri Kiongozi. Je ni nafasi gani atapewa?
1. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje?
2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano?
3. Waziri ndani ya SMZ?
4. Katibu Mkuu CCM?
5. Katibu Mwenezi CCM
6. ????
1. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje?
2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano?
3. Waziri ndani ya SMZ?
4. Katibu Mkuu CCM?
5. Katibu Mwenezi CCM
6. ????