Mh. Vicky Kamata CV ...[ Mungu tuokoe]

Status
Not open for further replies.
Jamani msimuonee bure huyu dada labda kama kuna kitu kingine nyuma ya taarifa hii lakini mie naona CV imekaa poa tu. Kwa wale wasiofuatilia mambo ya elimu nchi za nje ni kwamba Masters Degree ni mwaka mmoja tu Uingereza iwe M.Sc, M.A e.t.c
 
Watu wengine hawajui wanachokiongelea kwa sababu ya fitina zao uwe na uwezo wa kutofautisha kati ya Southampton University na Southampton Solent University maana hizo ni University mbili tofauti zinazopatikana katika Jiji la Southampton kwa hiyo msiingize makosa kwenye CV yake kwa sababu ya fitina zenu. Nasisitiza kwamba CV ya huyu mdada imekaa poa tu kama za watu wengine wa kawaida na anafaa kuwakilisha jamii.
 
i think course husika ni hii MSc Business Information Technology (Full Time)

MSc Business Information Technology (Full Time) | Postgraduate | Courses | Southampton Solent University
vigezo vya kujiunga na course ni
an HND or equivalent in an IT-related subject but with at least 3 years experience working within the IT industry at an appropriate level.
2012

The normal entry requirements are either:

  • A good honours degree in a computing or business studies discipline or

  • a good honours degree in a subject with significant computing or business studies and relevant experience within the IT industry or

  • any qualification of degree standard eg BCS Professional Examination, but with at least 2 years experience working within the IT industry at an appropriate level or

  • an HND or equivalent in an IT-related subject but with at least 3 years experience working within the IT industry at an appropriate level. (katumia hiki kigezo na hiyo diploma yake ya kiani)
sawa na hiyo DIPLOMA yake,
Tatizo (wasiwasi wangu ni kwamba hiyo diploma ya computer (
nyakohoja computer centre, mwanzadiploma19971999diploma ) hiyo inaweza kuwa ya kupika, chimbeni hapo kwenye hiyo diploma ya mwanza kama hicho chuo kipo otherwise hakuna hoja ya msingi zitabaki hisia. kama kuna mtu ana fact kuhusu hicho chuo aseme, Solent wakiambiwa walikuwa duped lazima wanakuwa wakali na wanaweza ku invalidate hiyo Msc
 
Watu wengine hawajui wanachokiongelea kwa sababu ya fitina zao uwe na uwezo wa kutofautisha kati ya Southampton University na Southampton Solent University maana hizo ni University mbili tofauti zinazopatikana katika Jiji la Southampton kwa hiyo msiingize makosa kwenye CV yake kwa sababu ya fitina zenu. Nasisitiza kwamba CV ya huyu mdada imekaa poa tu kama za watu wengine wa kawaida na anafaa kuwakilisha jamii.

nilichoona hapo kwenye CV ni kwamba kapika Diploma na kudanganya WORK EXPERIENCE, CV yake inaonyesha kwamba hajafanya kazi ya IT, kwa misingi hiyo SOLENT wasingeweza kumpa hiyo masters am sure about that
check CV kwa mujibu wake

employment history
company namepositionfrom dateto date
the parliament of tanzaniamember - special seat20102015
bank of tanzania (bot)public relation officer i20092010
bank of tanzania (bot)public relation officer iii20062009
 
..Wakati mwingine bora kukaa kimya kuliko ku expose u-dhaifu wako. Ni digilii kama ya Salma Kikwete :)

Huyu si kuna wakati alifichwa UK, kumbe alikuwa anasoma digilii ....!! Ila naona kasahau kuandika kozi zake za kuvunj amri ya sita ( na hizo ni publications kweli au kaweka na essays/homework maana title sawa, miaka hiyo hiyo mweehhh !!!)
Kwani hiyo Public relation ya ESAMI sio degree??
 
Nadhani kuna vitu tunatakiwa kuwa wadadisi kidogo
kuna hisia zimetumika zaidi katika kujadili hiyo CV .
Ni vyema kila mtu akaukumiwa kwa HAKI hata kama ana makosa mengine.

Ukweli ni huu
kwa mtu mwenye work experience miaka 5 (managerial ) na diploma (sometime bila Diploma ) kama una uzoefu wa kiuongozi vyuo vingi UK zinaweza kukubali kusoma Masters kwa mwaka mmoja.
Kwa maana hiyo sio kweli kwamba kusoma MASTERS lazima uwe na SHAHADA ya kwanza

Angalia hapo kwenye red halafu rejea historia yake ya shule. Kasomea certificate ya PR/Customer service 2007, then 2008 anafanya MSc! Hiyo miaka mitano ya managerial iko wapi? Na sina hakika hiyo PR course ilikuwa ya mwaka mzima au ni zile short courses unapata certificate ya chap chap.

Uko sawa, Masters UK ni mwaka mmoja except kwa vyuo vichache sana kama London Business School (MBA) ambayo ni 16-24 months(incl field work).

Pia, sijui kama kosa ni la huyo binti au ni watendaji wa bunge au kuna mtu alimuandalia hiyo CV. Kwenye publication angalia mpangilio wa majina ya author, ameanza V.Kamata ... Nilidhani inaandikwa the other way round ; Kamata V. Na hii iko kote kwenye list ya publications zake.

Nadhani watu wanachohoji ni ukweli wa killichoandikwa na legislature. Sina tatizo kama mtu ana elimu ya STD 7 au PhD. Cha muhimu ni kutoa taarifa sahihi, especially kama wewe uko kwenye chombo cha kutunga sheria. Hii ni kwa ajli ya kulinga heshma ya huu mhimili lakini pia kutofanya watu wakose imani na wanasiasa.
 
i agree with you kwenye work experience (IT ) CV yake inaonyesha hana, pia hana cheti credible cha diploma
nilichojaribu kusema sio lazima kuwa na degree ili kusoma masters kama wenye wanavyofikilia, wanachukua masharti ya UDSM , MZUMBE na UDOM kisha wanachanganya matango.
kuna mapungufu kwenye hiyo CV,
BTW naona solent wenyewe ni 3yrs work experience sio 5 yrs
Angalia hapo kwenye red halafu rejea historia yake ya shule. Kasomea certificate ya PR/Customer service 2007, then 2008 anafanya MSc! Hiyo miaka mitano ya managerial iko wapi? Na sina hakika hiyo PR course ilikuwa ya mwaka mzima au ni zile short courses unapata certificate ya chap chap.

Uko sawa, Masters UK ni mwaka mmoja except kwa vyuo vichache sana kama London Business School (MBA) ambayo ni 16-24 months(incl field work).

Pia, sijui kama kosa ni la huyo binti au ni watendaji wa bunge au kuna mtu alimuandalia hiyo CV. Kwenye publication angalia mpangilio wa majina ya author, ameanza V.Kamata ... Nilidhani inaandikwa the other way round ; Kamata V. Na hii iko kote kwenye list ya publications zake.

Nadhani watu wanachohoji ni ukweli wa killichoandikwa na legislature. Sina tatizo kama mtu ana elimu ya STD 7 au PhD. Cha muhimu ni kutoa taarifa sahihi, especially kama wewe uko kwenye chombo cha kutunga sheria. Hii ni kwa ajli ya kulinga heshma ya huu mhimili lakini pia kutofanya watu wakose imani na wanasiasa.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mbona iko poa tu haina shaka unataka iweje? Au ulitaka awe na degree ndio aende Masters ? Sisi ndio tuna complicate mpaka uwe na degree ndio uende masters. CV yake iko fine mbona.
 
Unafanya nini huku? Umeona VK kazaliwa sept 1978 na january 1983 akaingia la kwanza? Alikuwa na miaka mingapi vile? Haya, changanya na zako afu unambie kwanini ulichelewa hivyo kuanza shule? Ulikuwa kilaza au?

Hehehehe ahsante Asprin kwa kunijulisha hilo .....aisee mie nilikuwa bado kuliona daaah!
 
Last edited by a moderator:
Nchii hii elimu yetu tunayosoma inatusaidia kuelimika kweli? au kuchekesha waheshimiwa ili mambo yetu yaende.
 
mmmhh,jamani diploma up 2 masters!? Hakuna hiyo kitu!hapa kuna tatizo!!hii ni mangumashi,by the way cv sio issue km utendaji na ufanisi ni mzuri,bt kwa bongo naona matatizo kwa waliosoma na wasiosoma coz of system!
 
Siyo kwa Msc jombaaa! Labda kama imeitwa sayansi kama zile Bsc za Mzumbe. Masters ya sayansi usome mwaka mmoja? Unaijuwa sayansi au unasimliwa? Research muda gani? Acheni kunajisi taaluma. Anakamtaji katikati ya mapaja.
Kwa UK ni sawa, Masters ni miezi 9 jomba....
 
victoria paschal kamata, mtoto wa mama deo. Alizaliwa mwaka 1974 na 1978, miaka ya 1990-1995 mama deo (mama mzazi wa victoria kamata) alikuwa amepanga kwenye nyumba ya mzee bosco maeneo ya kreluu mabatini mwanza. Wakati huo victoria alikuwa msichana mkubwa (nilikutana nae mwaka 1993) kunizidi mie ambae nimezaliwa 1975. Baadae mama deo ambaye alikuwa mfanyakazi wa benki kuu mwanza akahamia nyakato mecco ambako alijenga nyumba, na tulikuwa tunakutana na victoria mara kwa mara. Kuna kipindi alisomea chuo cha uhasibu mbeya akashindwa, na ana mtoto wa kiume ambae alimzaa kati ya mwaka1995 au 1997 na tapeli mmoja wa musoma. Wadau hayo ni kwa kifupi tu, mkitaka zaidi naweza kuwaletea humu kuhusu huyu dada yangu. Sijapenda uongo wake.

makubwa mi nimesema mtoto wa miaka minne na miezi mitatu aanze kusoma shule ya msingi ya zamani ambayo kipimo ilikuwa ni mkono unapitisha kichwani unashika sikio upande wa pili usipofikisha unasubiri mwakani
 
ESAMI huwa wanatoa hiyo course kwa wiki nne tu, ndiyo maana ameshindwa kutaja ni kuanzia mwezi gani mpaka mwezi gani. Ni vizuri tukuweka wazi kwamba huyu dada amshukuru sana Liyumba aliyemtoa tongotongo wakati Liyumba yupo chuo cha BOT Mwanza, kabla mheshimiwa hajapora. Lakini kama ndiyo elimu za viongozi wetu ziko hivi, unategemea thinking capacity itakuweje? Yaani jamaa ametujazia vilaza bungeni mpaka kwenye cabinet. Kwa mwendo huu kweli tutafika?????????????
 
Kazaliwa September 1978 akaanza primary mwaka 1983. Mnaojua mahesabu atakuwa kaanza la kwanza na miaka mingapi? Tena enzi za mwalimu za kushika sikio la kushoto kwa mkono wa kulia kupitia juu ya kichwa?

Asprin
Heshima kwako!! Umenichekesha sana na leo umekuwa sababu ya kwanini naipenda JF!! Ina kila kitu, kuanzia kununa mpaka kucheka!!
 
Mkuu, hapo kwa Bill gates jaribu kumsoma upya. Mi nijuavyo ni kwamba alichokuwa akikisoma ndo alimoinvest though hakuwa alone kwenye hiyo iliyompelekea kuwa tajiri. Anajuwa vzr mambo yake hayo ya computer, so, tunaweza kusema aliinvest kwenye kipaji.
CV ya mtu sio issue. Ila anaweza ku-deliver? Kwani Thomas Edison aliyevumbua bulb baada ya kufanya experiment mara elfu kumi( 10,000 x) alikuwa na masters ya nini? Bill Gates ambaye ni owner wa Microsoft(unatumia Windows PC?) ana degree? Tatizo la watu walio wengi Tanzania wanaangalia CV za watu kana kwamba CV ndio zinazoleta maendeleo ya nchi yetu. CV zenye PhD,masters lukuki zimejaa maofisi ya serikali lakini zainabakia kucheza karata tu,ufanisi hamna.

Tukokane na huu upuuzi wa kufikiri kuwa CV za watu ndio kielelezo sahihi cha kumthamini mtu na thamani ya kile ambacho mtu anaweza kufanya. CV ina umuhimu wake lakini muhimu zaidi ni "deliverables"
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom