mkuu mwishoni ungemaliza na haka kajineno (ufisadi) ningebalikiwa sana.Watanzania wamechoka kucheka na nyani ( CCM ) na kuvuna mabua.
salamu ya leo chadema makambako.. Chademaaaa!!!! Kamata mwizi meni.!! Wakuu hadi raha
.Nimeipenda hii salamu
Hivi hii CDM inataka kuchukua nchi kweli 2015!!!!!!
Genister muhagama c ndo mbunge wa makambako? Huyu mazel anajali zaid masilai ya ccm na c watu wa makambako, poleni sana natmai kosa si kosa bali kurudia kosa ndo kosa, na hamtarudia kumchagua tena uyu mama muhaini wa haki
mkuu kuwa makini kidogo mbunge wa makambako sio mhagama ni Deo sanga au jahapipo.Mhagama mbunge wa peramiho huko songea.!