Mh. Spika Hebu angalia unavyoendesha Bunge, kwa kweli Inasikitisha. Sijui Tanzania Tunaelekea wapi.... Maswali ya maana ya Wawakilishi wa Tanzania, Unayakataa yasipewe majibu, Unajibu kwa mkato, Unajibu kwa jinsi unavyojisikia wewe badala ya kwa manufaa ya Tanzania.
Tafadhali JITAFAKARI Mh.
Tafadhali JITAFAKARI Mh.