Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Mh Spika Toka Jana ameanzisha kamchezo ka ajabu mara baada ya maswali na majibu anajifanya anakazi nyingine na kumuita Mwenyekiti wa Bunge kusimamia Bunge. Ila Sasa hivi ameanzisha katabia ka kuzuia mijadala hasa ile ya Miongozo amabayo Wabunge huja nayo Mara baada ya maswali na majibu. Yafuatayo ndio yaliyofanywa toka jana.
Jana Baada ya Maswali na majibu akatoa matangazo mara baada ya kumaliza matangazo kabla ajakaa akaita Katibu hoja za kuwasilisha mezani. Wakati huo wabunge wakawa wamesimama kwa kuomba Muongozi bila kujali wabunge walikuwa na jambo gani Muhimu basi akasema nikishasema katibu basi hakuna Muongozi. hivyo akaktaaa katakata na na mara kumuita Mwanyekiti kwaajili ya kuendelea na shughuli za Bunge. Hii inaonesha wazi yeye amekuwa mtu wa kuendesha Bunge kama anavyotaka na kutoruhusu hoja yoyote kujadilia Je anatupeleka wapi?
Leo Katika Bunge amefanya kama jana mara baada ya matangazo akaita mwenyekiti huku wabunge wakiwa wamebaki wamesimama wakiomba muongozi na kusema anashughuli muhimu ofisini. Mara Mwenyekiti akakalia kiti na kusema waheshimiwa Wabunge nimewaona nitawapa nafasi baadae na kuruhusu wabunge kuendelea kuchangia hoja kwenye mjadala wa Wizara ya Uchukuzi.
Je kanuni hapa spika akiuki sheria kwa kuwaburuza wabunge? Je spika kama ana kazi za ofisi kuna haja gani kuja na kusimamia maswali tu na kuhakikisha hakuna hoja zinazoibuliwa? Je Anafikiri Watanzania hatuoni jinsi anavyoongoza Bunge? Tunajua anaongoza Bunge kibabe bila kujali maslai ya Taifa.
Nawasilisha Wanajamvi!
Jana Baada ya Maswali na majibu akatoa matangazo mara baada ya kumaliza matangazo kabla ajakaa akaita Katibu hoja za kuwasilisha mezani. Wakati huo wabunge wakawa wamesimama kwa kuomba Muongozi bila kujali wabunge walikuwa na jambo gani Muhimu basi akasema nikishasema katibu basi hakuna Muongozi. hivyo akaktaaa katakata na na mara kumuita Mwanyekiti kwaajili ya kuendelea na shughuli za Bunge. Hii inaonesha wazi yeye amekuwa mtu wa kuendesha Bunge kama anavyotaka na kutoruhusu hoja yoyote kujadilia Je anatupeleka wapi?
Leo Katika Bunge amefanya kama jana mara baada ya matangazo akaita mwenyekiti huku wabunge wakiwa wamebaki wamesimama wakiomba muongozi na kusema anashughuli muhimu ofisini. Mara Mwenyekiti akakalia kiti na kusema waheshimiwa Wabunge nimewaona nitawapa nafasi baadae na kuruhusu wabunge kuendelea kuchangia hoja kwenye mjadala wa Wizara ya Uchukuzi.
Je kanuni hapa spika akiuki sheria kwa kuwaburuza wabunge? Je spika kama ana kazi za ofisi kuna haja gani kuja na kusimamia maswali tu na kuhakikisha hakuna hoja zinazoibuliwa? Je Anafikiri Watanzania hatuoni jinsi anavyoongoza Bunge? Tunajua anaongoza Bunge kibabe bila kujali maslai ya Taifa.
Nawasilisha Wanajamvi!