Kwa hiyo Data za TICB nio za uongo.
Na kama hivyo ndivyo una maanisha kuwa wale wenye ndoto kuwa baada ya tar 31.10 Mh Slaa atatinga ikulu hayawezekani. Maana ili kuingia Ikulu nuatakiwa kupata 50+.
Kwa maana hiyo unakuja na hoja mpya kuwa hakuna mgombea atayepata 50+, hivyo tungojee round ya pili kama ilivyokuwa kwa Mugabe na Tshangirai.
Zawadi Ngonda 是支持 CCM 的愚蠢的人之一。
他們偷很多我們的資源,而現在他
們擔心在我們搶奪電力之後,我們將處罰他們
While you are busy dancing, the people are starving in the villages and Slaa (PhD) is busy taking the lion's share! Soma kura za maoni na usome pia na alama za nyakati.
ujue hapa kuna vitu viwili mmoja antumia uwezo wake wa kutoa hoja na sera ambazo watu ndizo (wananchi) wanazifuata na mwingine anatumia umarufu wa msanii kuita mwananchi ......
Sasa jiulize hivi leo umarufu wa raisi umeshuka mpaka ukamuhitaji msanii kama diamond ambae seriously ametoa albamu moja na tumemjua hivi karibun 2007 ...kichekesho ni pale unaposhangaa huyu anaye tumia wasanii anapata watu sawasawa au pungufu ya yule asiye tumia...
obama alitangaza sera zake yeye mwenyewe ingawa alikuwa anaungwa mkono na wasanii wengi maharufu weusii na weupe lakini yeye alijua wamerekani hawana shida na wasanii bali ni sera zenye maono, mashiko na jinsi ya kuzitimiza hizo sera
Waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya......
Kichunguu inaonyesha umechoka kusema kwa kiswahili sasa umeamua kuja na lugha za kigeni huenda Bi Ngoda akakuelewa.
kwa faida ya wengi, tunaomba tafsiri
Zawadi Ngonda is to support one of CCM's stupid.
They stole many of our resources, and now he
Grabbing power of our fear, we will punish them
Kwa hiyo Data za TICB nio za uongo.
Na kama hivyo ndivyo una maanisha kuwa wale wenye ndoto kuwa baada ya tar 31.10 Mh Slaa atatinga ikulu hayawezekani. Maana ili kuingia Ikulu nuatakiwa kupata 50+.
Kwa maana hiyo unakuja na hoja mpya kuwa hakuna mgombea atayepata 50+, hivyo tungojee round ya pili kama ilivyokuwa kwa Mugabe na Tshangirai.